Subscribe to receive latest Updates

Online :

You Are Here: Home - - UGANDA YAIBUKA MSHINDI WA TATU MICHUANO YA CECAFA

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter

Mashabiki wa timu ya Uganda wakishangilia. Timu ya taifa ya Uganda

Timu ya taifa ya Uganda 'The Cranes' imeibuka mshindi wa tatu katika michuano ya Chalenji baada ya kuichapa mabao 4-3 timu ya taifa ya Ethiopia katika mechi iliyopigwa mapema hii leo kabla ya mechi ya fainali kuanza.
Tags:

0 comments

Post a Comment