Timu ya taifa ya Uganda 'The Cranes' imeibuka mshindi wa tatu katika michuano ya Chalenji baada ya kuichapa mabao 4-3 timu ya taifa ya Ethiopia katika mechi iliyopigwa mapema hii leo kabla ya mechi ya fainali kuanza.
You Are Here: Home - - UGANDA YAIBUKA MSHINDI WA TATU MICHUANO YA CECAFA
IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII:
Timu ya taifa ya Uganda 'The Cranes' imeibuka mshindi wa tatu katika michuano ya Chalenji baada ya kuichapa mabao 4-3 timu ya taifa ya Ethiopia katika mechi iliyopigwa mapema hii leo kabla ya mechi ya fainali kuanza.
Timu ya taifa ya Uganda 'The Cranes' imeibuka mshindi wa tatu katika michuano ya Chalenji baada ya kuichapa mabao 4-3 timu ya taifa ya Ethiopia katika mechi iliyopigwa mapema hii leo kabla ya mechi ya fainali kuanza.



0 comments