Subscribe to receive latest Updates

Online :

You Are Here: Home - HABARI ZA LEO , HABARI ZA MICHEZO - Vinega yafanya kufuru Dar

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
Mwekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Freeman Mbowe, akiwapa hai, mashabiki kabla ya kuanza kuchana mistari.


Wasanii wa kizazi kipya waliowahi kutamba zamani waliounda kundi la Vinega wakiongozwa na Mkurugenzi wa Deiwaka Entertainment, Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ (pichani juu) usiku wa kuamkia leo wamefanya onesho lililohudhuriwa na maelfu ya watu katika Viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii jijini Dar es Salaam. Yafuatayo ni baadhi ya matukio yaliyojiri kiwanjani hapo:.
...sehemu ya yomi iliyokuwepo

Sister P akikamua.
...Zay B jukwaani
..Daz baba na makamuzi yake
Dj Sox wa Mabaga Fresh
Mkoloni akiwajibika
Mkoloni akiwajibika
Mr. Simple, ambaye pia ni Diwani kwa tiketi ya Chadema
...Kinadada wakifuatilia makamuzi
...Mashabiki wakiwa na mzuka
...Sugu anapoweka pembeni uheshimiwa na kukamata Mic
Dada wa kitasha akiserebuka baada ya kunogewa na bongo flava

0 comments

Post a Comment