Subscribe to receive latest Updates

Online :

You Are Here: Home - - Waziri Mkuu Brown ahojiwa kuhusu Iraq

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
Gordon Brown

Akihojiwa moja kwa moja kwenye runinga mjini London, Gordon Brown amesema akitegemea taarifa za vyombo vya ujasusi aliamini kwamba Iraq ni tishio la kukabiliwa na kuwa mpango wa utulivu kimataifa ulikuwa hatarini.
Waziri Mkuu wa Uingereza Gordon Brown ameliambia jopo linalochunguza uvamizi wa Iraq kwamba uamuzi wa kuishambulia nchi hiyo ulifanywa kwa sababu za msingi.
Bw Brown, ambaye wakati huo alikuwa waziri wa fedha chini ya serikali ya Tony Blair, amekanusha habari kuwa kulikuwepo na upungufu katika vifaa vya majeshi kutokana na uhaba wa fedha.
 
Tags:

0 comments

Post a Comment