You Are Here:
Home -
-
Wee acheni tuu, huu ni ukiukaji wa haki za binadamu
Wee acheni tuu, huu ni ukiukaji wa haki za binadamu
Posted by B.M.T on Tuesday, December 22, 2009 //
0
comments
IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII:
Rais wa Marekani, Barack Obama
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa katika gereza hilo la GuantanamoWashington
MAREKANI imesema jana kuwa imewarejesha wafungwa 12 kutoka jela ya Guantanamo na kuwapeleka nyumbani kwao nchini Afghanistan, Yemen na Somalia, taifa ambalo limo katika mapigano ya wao kwa wao na ambalo linasadikiwa kuwaficha wapiganaji wa kundi la al-Qaeda – jambo ambalo limezusha wasiwasi kuhusu hatua hiyo ya kuwarejesha wafungwa hao...
0 comments