Subscribe to receive latest Updates
Stories: 3163
Comments: 284

Online :

kpleo

...

Ufumbuzi mafuta ya Zanzibar waiva

Magai na Aziza Nangwa UFUMBUZI wa mvutano wa uchimbaji wa nishati ya mafuta na gesi asilia visiwani Zanzibar uko katika hatua za mwisho baada ya mshauri mwelekezi kutoka...

ISRAEL YAFANYA MAUAJI GAZA...SOLANA ASEMA its unacceptable..

Mara ya mwisho imebadilishwa: 21 Desemba, 2008 - Imetolewa 12:28 GMT Israel yashambulia Gaza Imeandikwa na Mwandishi wa BBC Mabomu yamedondoshwa Gaza Ndege za kijeshi za Israel zimeshambulia...

NEW YEAR WISHES......TAKE SOMETIME TO SEND YOUR NEW YEAR WISHES TO .....

New Year SMS / Text Messages Don’t forget to rate messages as per your choice. Year’s end is neither an end Year’s end is neither an end nor...

Mbunge: Hatutaki kumuonea Mkapa

• Asema wanataka kujua undani wa Kiwira na Christopher Nyenyembe, Rungwe MBUNGE wa Mpanda Kati, Arfi Amour (CHADEMA), amesema chama hicho hakitaki kumuonea Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa kuhusu...

Njama zafanyika kudhoofisha vyanzo vya habari vya The THOMCOM

The THOMCOM imepata taarifa rasmi zinazoonesha kuwa kuna mtu mmoja amejitahidi kufanya kazi ya kuwatafuta maripota wetu wa The THOMCOM ili kuwapa shuluba bila mafanikio. siku chache baada...

hatimaye wawasili home. wanaswa na The THOCOM wakirandaranda Manzese...

CHOKA MBAYA Na: Mkali Mapunda, Dar es Salaam 26/12/2008 Wale waliokuwa wanafunzi wa chuo kikuu Lumumba na ambao walikuwawanajifanya kama Moscow yote ni ya kwao kwa kuonesha ubabe...

BABA MTAKATIFU ASHUTUMU UBINAFSI UNATUMIKA WAKATI HUU NA NDIO ULIOSABABISHA ECONOMIC CRISIS

Pope decries selfishness in economic crisis Buzz Up Press Writer – 1 hr 14 mins ago AP – Pope Benedict XVI waves to faithful during the 'Urbi et...

RUSSIA KUPELEKA MITAMBO YA KUJIKINGA NA MAKOMBORA IRAN. MAREKANI NA ISRAEL ZAJA JUU

AP – Russian Prime Minister Vladimir Putin chairs a Cabinet meeting in Moscow, on Monday, Dec. 22, 2008. WASHINGTON – U.S. officials said Monday that they want answers...

upinzani watuumia kuchangia migomo ya wanafunzi. SERIKALI YATOA MASHARTI MAGUMU KWA WANAFUNZI KURUDI V YUONI

WAKATI Serikali ikitoa masharti magumu kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kurejea vyuoni baada ya kugomea Sera ya Uchangiaji Elimu, uchunguzi wa awali uliofanywa na Jeshi la Polisi umeonyesha...

Wanafunzi vyuo vikuu na ushirikiano wa kinafiki

Na Peter Zakhayo Daily News; Thursday,December 18, 2008 @20:00 Wanafunzi wa CBE wakati wa mahafali ya mwaka huu Habari nyingineWanafunzi vyuo vikuu na ushirikiano wa kinafikiZiwa Tanganyika lina...

Tenga amgaragaza Malinzi

Na Jumanne Khasim Daily News; Monday,December 15, 2008 @12:20 Habari nyingineMalkia wa Afrika Mashariki kupatikana leoFlamingo yapigwa jekiMbilinyi bingwa wa FiddleRedio, runinga zatakiwa kuacha kuwanyonya wasaniiMbio za wazi...

JK:No kushinikiza kesi za mafisadi

Zile kesi zidi ya watuhumiwa wa rushwa zitaendelea kuendeshwa, kwa kutumia utaratibu pamoja na uangalifu kwa kukataa shinikizo la kuwapeleka watuhumiwa mahakamani. Kauli hiyo ya kukataa shinikizo la...

ottenham 2-2 Spartak Moscow

Peter Zakayo | Thu, Dec 18, 21:39 Tottenham Hotspur fight back from two goals down to draw 2-2 at home to Spartak Moscow and qualify for the last...

ANGALIA LIVE HOTUBA YA Mh. BALOZI KUHUSU WANAFUNZI WALIOKWISHA PEWA TICKET

katika kusherehekea sikukuu ya Uhuru wa Tanganyika, Mh. Balozi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Kaptain mstaafu Jaka Mwambi alitumia nafasi hiyo kuelezea masikitiko yake juu ya baadhi...

MABADILIKO NDANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM-MOSCOW)

KAMATI KUU YA CCM TAWI - TARAJIWA LA MOSCOW IMEKAA NA KUFANYA MABADILIKO KAMA IFUATAVYO bonyeza hapa ..................... ...

RAIS BUSH APIGWA NA VIATU KATIKA MKUTANO IRAQ

ANGALIA VIDEO NA HABARI ZAIDI HAPA ............................ ...

KATIKA KUHADHIMISHA SHEREHE ZA UHURU, VIJANA WAKABITHIWA TIKETI RASMI....

wanafunzi watano waliofutiwa udhamini na serikali wamekabidhiwa ticket zao ikiwa ni pamoja na barua rasmi za kuwataka kuondoka nchini haraka iwezekanavyo. kutokana na hotuba ya Mh. balozi ambayo...

Kongamano la London la Wazanzibari walio n'gambo

Mji mkongwe wa Zanzibar Kongamano juu ya mustakbali wa Zanzibar Mjini London hii leo kunafanyika kongamano la mustakbali wa Visiwa vya Zanzibar lililoitishwa na jumuiya MUWAZA ambayo imesema...

nyepesi nyepesi....

Kuna uvumi unaoenezwa na wanafunzi waliofutiwa udhamini na serikali kuwa serikali pamoja na ubalozi umewaita na kuwapa ofa ya kuendelea kusoma ili waombe msamaha na wanafunzi hao kuchomoa....

UPEKUZI,,,,,,,,,

kama The THOMCOM ilivyoahidi, itawaletea live sakata zima la kufutiwa dhamini wanafunzi kadhaa chuo kikuu Lumumba. Habari zilizoifikia The THOMCOM zinasema kwamba tayari ticket kwa ajili ya kuwapatia...

mambo ya sikukuu...

SHEREHE ZA MIAKA 47 YA UHURU Baadhi ya Askari wa Jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) wakiwa katika Gwaride kwenye Sherehe za miaka 47 ya Uhuru, yaliofanyika leo Uwanja...