Subscribe to receive latest Updates

Online :

You Are Here: Home - HABARI ZA LEO , HABARI ZA MICHEZO - Taifa stars yatinga nusu fainali CECAFA

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
Kilimanjaro Stars imefanikiwa kuingia nusu fainali ya mashindano hayo baada ya kuifunga Malawi goli1-0 katika kipindi cha Kwanza, lililofungwa na Nurdin Bakari. Leo Kilimanjaro Stars imeonyesha mchezo mzuri ukiacha makosa madogo madogo yaliyojitokeza.

0 comments

Post a Comment