Subscribe to receive latest Updates

Online :

You Are Here: Home - HABARI ZA LEO , HABARI ZA MICHEZO - Stars yasonga mbele hatua ya makundi kombe la Dunia kwa magoli ya ugenini

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
 Golikipa wa timu ya taifa ya Chad, Brice Mabaya akirukja kuokoa moja ya hatari zilizoelekezwa langoni mwake mbele mshambuliaji wa Taifa stars katika mchezo wa kutafuta nafasi za kufuzu katika mchezo wa kuwania kutinga katika hatua ya makundi ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Chad ilishinda 1-0.
 Kocha wa Taifa Stars Jean Poulsen 'Babu' akiagana na kocha msaidizi wa Chad baada ya kumalizika kwa mchezo
 Mashabiki wakifuatilia mchezo huo
 Nahodha wa Stars Henry Joseph (shoto) na nahodha wa Chad, Mahmat Habib kabla ya mchezo
Wachezaji wa Chadi wakiagana na wenzao wa Stars baada ya mchezo kwisha
 Juu na chini ni mshambuliaji wa timu ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Mrisho Ngasa (shoto) akichuana na beki wa Chad, Rodrigue Casmir Niinga katika mchezo wa kutafuta nafasi za kufuzu katika mchezo wa kuwania kutinga katika hatua ya makundi ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Chad ilishinda 1-0. Picha zote na Francis Dande wa Globu ya Jamii





Habari kwa hisani ya Michuzi Blog

0 comments

Post a Comment