Subscribe to receive latest Updates

Online :

You Are Here: Home - HABARI ZA LEO - Uchaguzi wa Sekretarieti ya CCM wakamilika na viongozi hawa hapa...

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
  1. Katibu Mkuu mpya wa CCM Mh. Wilson Mkama
  2. Naibu Katibu Mkuu mpya wa CCM (Bara) Mh. John Chiligati
  3. Naibu Katibu Mkuu mpya wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai  
  4. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM taifa Nape Moses Nnauye
  5. Mweka Hazina mpya wa CCM Taifa Mwigulu Lameck Nchemba
  6. Katibu Organaizesheni wa NEC Bi Asha Abdullah Juma
  7. Katibu wa Siasa na Mambo ya Nje wa CCM Mh. January Makamba
WAJUE VIONGOZI WA CCM KATIKA PICHA


Wanachama wa CCM waliochaguliwa leo kuunda sekrtarieti mpya. Toka shoto ni Mweka Hazina mpya wa CCM Taifa Mwigulu Lameck Nchemba, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM taifa Nape Moses Nnauye, Katibu Organaizesheni wa NEC Bi Asha Abdullah Juma, Naibu Katibu mkuu CCM Zanzibar vuai Ali Vuai na January 

Katibu Mkuu mpya wa CCM Mh. Wilson Mukama

Naibu Katibu Mkuu mpya wa CCM (Bara) Mh. John Chiligati
Kushoto; Naibu Katibu Mkuu mpya wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai  
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM taifa Nape Moses Nnauye akiwa na Msekwa

WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU

  1. Anna Abdallah
  2. Peter Kisumo
  3. Mwigulu Nchemba
  4. Januari Makamba
  5. Ally Juma Shamhuna
  6. Wilson Mukama
  7. Emmanuel Nchimbi.

WANAOINGIA KAMATI KUU

  1. Pindi Chana
  2. Abdulrahman Kinana
  3. Zakhia Hamdan Meghji
  4. Abdallah Kigoda
  5. Steven Wassira
  6. Costansia Buhiye
  7. William Lukuvi
  8. Dk. Hussein Ali Mwinyi
  9. Dk. Maua Daftari
  10. Samia Suluhu
  11. Shanmsi Vuai Nahodha
  12. Omary Yusuf Mzee
  13. Prof. Makame Mbarawa
  14. Mohamed Seif Khatibu

0 comments

Post a Comment