Subscribe to receive latest Updates

Online :

You Are Here: Home - HABARI ZA KITAIFA , HABARI ZA LEO - waziri wa afya na huduma za jamii wa marekani amtembelea JK ikulu

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
Rais Jakaya Kikwete (Kulia) na Balozi wa marekani nchini, Alfonso E. Lenhadrt (Kuloa) wakishuhudia wakati mke wa rais, Mama Salma, akipokea zawadi ya picha kutoka kwa waziri wa Afya na Huduma za Jamii wa Marekani, Bi. Kathleen Sebelius, Ikulu jijini Dar es Salaam Ijumaa hii. Mgeni huyo yuko nchini kwa ziara ya kikazi

0 comments

Post a Comment