Subscribe to receive latest Updates

Online :

You Are Here: Home - - Bongo Daresalamu

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
Image
Licha ya kutolewa kwa taarifa ya kutokuwepo kwa usumbufu wa msongamano wa magari wa mara kwa mara kipindi hiki ambapo Mkutano wa Kimataifa wa Uchumi kwa Bara la Afrika (WEF) unaendelea jijini Dar es Salaam, bado maeneo mbalimbali yamekuwa yakitawaliwa na msongamano huo na kuwa tatizo kwa wananchi kama inavyoonekana pichani katika barabara ya Morogoro katikati ya jiji magari yakiwa yamesongamana, jana
Tags:

0 comments

Post a Comment