Kwa hivi sasa Uganda ni mwanachama katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
Siku ya Ijumaa, katika siku yake ya pili ya ziara nchini Zimbabwe, Bw Ahmadinejad aliyashtumu mataifa ya magharibi kwa kujaribu kuangamiza uchumi wa Iran na Zimbabwe.
Akifungua maonyesho ya biashara mjini Bulawayo, Bw Ahmadinejad alisema nchi hizo mbili zilipitia wakati mgumu wa kuingiliwa kati na mataifa hayo ya magharibi.
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ameunga mkono mpango wa nuclear wa Iran.

0 comments