| |||
‘Staa’ wa kundi la Orijino Komedi, Emanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ na msanii wa maigizo kutoka katika kundi la Kaole Sanaa Group, Simon Simalenga ‘Dimera’ hatimaye leo wametunukiwa Stashahada katika fani ya Uandishi wa habari na utangazaji wa Radio na Televisheni Katika Chuo cha Habari Dar es Salaam (DSJ).
|
You Are Here: Home - - Masanja Mkandamizaji ahitimu certificate....
IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII:
0 comments