Subscribe to receive latest Updates

Online :

You Are Here: Home - - RUSSIA isije ikajifunga GOLI yenyewe. kwa sasa upande wa MAGHARIBI umefungwa GOLI

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter "Abchasia na kusini mwa Ossetia zifuate mfano wa Kosovo na mara hii goli limetiwa katika lango la kambi ya magharibi. "Kwa kujitenga kwa majimbo 2 ya georgia,Russia inapiga mfano wa kufuatwa ambao Russia binafsi ilivinjari kwa miaka kadhaa usifuatwe katika jimbo la Chechnia. Rais Medwedew wa Russia, yamkini akaja kutia goli katika lango lake mwenyewe.Kwa upande mwengine,kuna wakaazi wachache wa jamii za kirusi katika nchi zanachama wa umoja wa Ulaya ulaya ya mashariki na hata Ukraine ambao wanabidi kulindwa.Hapa tunakumbushwa usemi wa wahenga kuwa dola kuu haziporomoki kwa amani-ukweli ambao waweza ukadhihirika.

Uchambuzi wa wahariri wa magazeti ya Ujerumani umeegemea zaidi hii leo mada 2: mvutano kati ya Georgia na washirika wake wa magharibi na Russia iliozitambua jana rasmi kama nchi huru -maeneo ya Georgia ya Abchazia na kusini mwa Ossetia.

Mada nyengine ni kutawazwa kwa Barack Obama kama mtetezi rasmi wa wadhifa wa urais wa Marekani .

Gazeti la Volksstimme kutoka Magdeburg juu ya uchaguzi wa rais wa Marekani:

►◄"1984 mtetezi wa haki za kiraia Jesse Jackson,alizusha msdisimko alipogombea kiti cha urais na akatokea watatu katika watetezi wa chama cha Democratic party.Robo karne baadae, Barack Obama ,mweusi mwengine ndipo ameibuka mtetezi rasmi wa chama kugombea urais wa Marekani.

Biramu lake la "mabadiliko" bila shaka limewagusa sana wamarekani.Kwani, bila kujali rangi yake ,baada ya miaka 8 ya george Bush katika ikulu,yadhihirika wakati umewadia wa kuleta mabadiliko.

Lakini,kila tarehe ya uchaguzi ikikaribia,Obama anazidi kuishiwa na pumzi.Miongoni mwa m abwnyenye wa kizungu wanajiuliza kwa wasi wasi,Obama anakusudia mageuzi gani ?

Ndio wanakubaliana na kumteketeza Bush na sera zake.Lakini wapi seneta wa Illinois anakotaka kuongoza Marekani ? Je, muamerika-mweusi aweza kutuhakikishia maisha yetu bora ?

Jibu lake litaonekana siku ya kupiga kura kujua iwapo wakati kweli umewadia wa mageuzi ya kweli nchini Marekani-kumtawaza sasa kitini rais-mweusi."

Likiendeleza mada hii,gazeti la BRAUNSCHWEIGER ZEITUNG laandika kwamba, hata kivuli hurudi tena:

Kwa jinsi inavyoonekana ni kana kwamba ni marudio ya historia kuwa muda mfupi kabla Edward Kennedy kuhutubia,watu kadhaa walitiwa nguvuni kwa kutiliwa shaka ya kutaka kumuua.hata katika mkutano huu wa sasa wa chama uvumi umeenea kuwa barack Obama -anaeonekana kuwa alama ya matumaini na ya kuachana na siasa za kizamani alizoitosa George Bush Marekani,atolewe mhanga. Barack atafaulu iwapo atavuka salama changamoto hii.

Vigogo vya Moscow vinatoa changamoto jinsi vinavyoweza kuichokoza Marekani na Umoja wa Ulaya.Hii pia ni kuwatia kitunga cha macho wananchi wa urusi kuamini dola lao kuu la Urusi lililozama sasa limeibuka tena.

Kwamba katika ulimwengu huu wa biashara ya utandawazi,watakuja kujuta majuto mjukuu,hakuna anaewaza hayo huko Kremlin.

Tags:

6 comments

  1. Anonymous says:

    Hi people,
    I am new to assenga.blogspot.com and I am sorry for being a bit off-topic, but I did not find a proper category!
    I have an skin problem, and a friend of mine suggested about glycolic acid for skin treatment, but I am a bit confused by the power of glycolic acid. Are concentrations over 19% considered strong?
    On this website about [url=http://GlycolicGel.info]Glycolic Gel[/url] it says that glycolic acid concentration higher than 15% is considered dangerous material in the USA!
    Also, do you know if I can I buy [url=http://GlycolicGel.info]best facial cleanser for sensitive skin
    [/url] on cosmetics store or is it only by doctor's prescription?

  2. Anonymous says:

    acelectoscomi

    [url=http://healthplusrx.com/fungal-infection]fungal infection[/url] Unrealfemanny

  3. Anonymous says:

    I'm just going to post my hello to this. Folks, you can call me Nicky. Things I like buy stuff I'll be checking out more of assenga.blogspot.com [img]http://downloadpushbuttonmoney.com/download-push-button-money.gif[/img]

  4. Anonymous says:

    Seotons - Entreprise de Creation site internet

  5. Anonymous says:

    helllooo, I am a freshman. Thought I'd make an introduction.

    see you around and Thankyou

    (apologise if this is the wrong thread to put this post)

  6. Anonymous says:

    hi

    i am new here

    just wana say hi to all

    DxSEO

Post a Comment