Subscribe to receive latest Updates

Online :

You Are Here: Home - HABARI ZA KITAIFA , HABARI ZA LEO - Abiria wa Bajaji ajeruhiwa katika ajali

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
Baadhi ya madereva wa Bajaj wakiinyoosha Bajaj iliyohusika katika ajali hiyo.


MWANAMKE mmoja amejeruhiwa asubuhi ya leo baada ya pikipiki ya Bajaj namba T492 BHD iliyokuwa imembeba kugonga gari dogo aina ya Carina maeneo ya Mikocheni jijini Dar es Salaam. Abiria huyo ambaye jina lake halikufahamika, na ambaye alikuwa akiendeshwa na mtu mmoja aliyejulikana kwa jina moja tu la Jonas, alikimbizwa hospitali mara moja na wafuatiliaji wa tukio hilo wanasema hali yake inaendelea vizuri.




Sura halisi ya Bajaj baada ya ajali.




Madereva wa Bajaj wakiamua ugomvi uliofuatia baada ya tukio hilo.




Wapita njia wakilishangaa gari lililohusika katika ajali hiyo.

0 comments

Post a Comment