You Are Here:
Home -
-
Hii ndo tofauti kati ya Maskini na Matajiri Tanzania
Hii ndo tofauti kati ya Maskini na Matajiri Tanzania
Posted by B.M.T on Sunday, November 21, 2010 //
0
comments
IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII:
Mbunge wa Jimbo la Mvomero Mh. Amos Makalla akitoa pole kwa mjane aliyepoteza mume kwa mafuriko yaliyofuatia mvua kubwa iliyonyesha Novemba 11, mwaka huu Kata ya Bunduki , Tarafa ya Mgeta, Wilaya ya Mvomero, Hebu mlinganishe bibi huyu na wengine waliokuja hapo
Hebu mlinganishe bibi huyu na wengine waliokuja hapo
Hebu mlinganishe mzee huyu na wengine waliokuja hapo. cheki pia miguuni
Mzee anachanja mawe huku akiwa peku ila waheshimiwa hata wakiwa wamevaa viatu vyao wanachechemea
Mzee anachanja mawe huku akiwa peku ila waheshimiwa hata wakiwa wamevaa viatu vyao wanachechemea
WE ARE VERY UNEQUAL
Tags:
0 comments