The crew of a large Russian anti-submarine ship has freed an oil tanker seized by Somali pirates on Wednesday. All 23 Russian sailors from the hijacked vessel have escaped the incident unscathed.
As a result of the rescue efforts, 10 pirates have been captured and one killed.
"The large submarine-hunter ‘Marshal Shaposhnikov’ of Russia's Pacific Navy carried out an operation to free the ‘Moscow University’ tanker. It ended with an assault by marines; Russia regained control of the tanker and set free all 23 crewmembers; none of them was hurt. 10 pirates have been detained. Several pirates have been wounded and one has been killed," reported Vladimir Markin, spokesman for the Investigations Committee of the Russian Prosecutor General's Office.
According to Markin, all those detained will be brought to Moscow for questioning.
The arrested attackers will be dealt with in accordance with “naval law,” President Medvedev said while discussing the events with Defense Minister Anatoly Serdyukov.
Medvedev also announced that Russia’s Foreign Ministry will work on an international initiative to create a legal framework for combating piracy, probably establishing an international court for such issues.
“What’s the problem here? We all know that it’s evil, but fail to agree on how to fight it. The result is the bad situation in terms of legal and political instruments,” the Russian president said. He added that without such an agreement seafaring nations will “have to deal with pirates the way our ancestors did.”
"Due to wise steps taken by the captain of the tanker and his crew, all 23 sailors hid in a special room inaccessible to the pirates. As a result, the pirates failed to take any crew members hostage," the vessel's owner, Novorossiysk Shipping Company (Novoship), told Interfax.
The Russian navy was aided by EU and NATO warships engaged in anti-pirate missions in the region.
Itar-Tass quotes the Operation Atalanta press-service as saying“an aircraft from patrol aviation of EU Navfor managed to contact the Moscow University crew several hours after the attack on the ship. This helped to confirm the crew was safe.”
According to a source in Russia’s Ministry of Defense, cited by Itar-Tass, the crew of the Marshal Shaposhnikov gave the pirates a chance to surrender. However, they were forced to storm the vessel.
As EU Navfor reports “The Marshal Shaposhnikov sent a helicopter to investigate upon arrival at the oil tanker Moscow University’s position. The helicopter was fired upon by the pirates holding the ship. The Russian warship, knowing the crew were locked down and safe, returned fire on the pirates.”
Pirates have seized an oil tanker with 23 Russians aboard, according to EU's anti-piracy mission "Atalanta". The vessel, sailing under a Liberian flag, was attacked some 800 kilometers east of the Somali coast.
Recent reports claim the tanker is now headed back to the coast of Somalia.
The seizure of the “Moscow University” vessel took place 350 nautical miles from the Yemeni island of Sokotra.
While the pirates took control of the ship, its crew barricaded itself in one of the lower compartments of the ship.
The tanker was carrying almost 90,000 tonnes of oil to China.
Foreign ministry spokesman Igor Lyakin-Frolov confirmed that the ship has been captured and said that the foreign ministry is “double-checking the details of the capture and the situation with Russian sailors”.
The Russian warship Marshal Shaposhnikov is now heading towards the captured vessel to assist its crew members. It is expected to reach the destination early Thursday morning.
RIA Novosti news agency quoted a high-placed source in the coalition forces’ headquarters as saying that the Russian Navy ship will only make contact with the seized tanker at about 1am Moscow time on Thursday.
However, piracy expert Mikhail Voytenko does not think it will try to free the ship by force, as the move would put the crew in danger.
“[The crew] is alive and well at the moment. However, they won’t be able to protect themselves from the pirates. The ship has been taken and they are a human shield of sorts,” Voitenko told Interfax.
He foresees that the events will take their usual turn, with the pirates taking the vessel to one of the Somalian ports.
Meanwhile the pirates have made their first statement since the hijacking of the ship.
“Any attempt to rescue the ship will certainly endanger the crew. The ship will be docked at Garacad,” a pirate called Abdi told Reuters, adding that it was too early to talk about a ransom.
“Even modern armed forces cannot fight against this kind of threat,” said Dmitry Rogozin, Russian ambassador to NATO. “We want to create an international court which could convict sea pirates. It hasn’t been internationally approved, but there is likely no alternative.”
Licha ya kutolewa kwa taarifa ya kutokuwepo kwa usumbufu wa msongamano wa magari wa mara kwa mara kipindi hiki ambapo Mkutano wa Kimataifa wa Uchumi kwa Bara la Afrika (WEF) unaendelea jijini Dar es Salaam, bado maeneo mbalimbali yamekuwa yakitawaliwa na msongamano huo na kuwa tatizo kwa wananchi kama inavyoonekana pichani katika barabara ya Morogoro katikati ya jiji magari yakiwa yamesongamana, jana
TUCTA WAJIBU MAPIGO
Watoa barua kuonyesha hawakuchelewa kikao
Waahirisha mgomo kusubiri majadiliano Jumamosi
MIEZI michache kabla ya Uchaguzi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete ameingia katika mgogoro mkubwa na wafanyakazi wanaodai amedanganywa na wasaidizi wake kwa kutumia baadhi ya taarifa zisizo sahihi katika hotuba yake kali ya kuwatuhumu aliyoitoa Jumatatu.
Jana Jumanne, wafanyakazi walitangaza kuahirisha mgomo wao uliokuwa uanze leo, lakini wakasema wanashangazwa na kauli za vitisho na shutuma za Rais Kikwete walizodai zilitokana na yeye kutumia taarifa zisizo sahihi.
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jana, Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUTCA), Omary Juma, alisema Rais Kikwete hakuwatendea haki wafanyakazi kwa kuwahukumu bila kuwasikiliza.
Alisema Juma katika taarifa ya maandishi ya TUCTA : “Tunaomba wananchi watambue kuwa viongozi wa TUCTA hatukuwa waongo wala wanafiki. Rais pia hakututendea haki kwa kutuhukumu bila kutusikiliza, bali alitumia maelezo ya upande mmoja katika hotuba yake. Mfano barua ya Katibu Mkuu wa Hazina iliyotualika saa nane na nusu na wala si saa nne kama ilivyoeleza.
“Katika nchi ya demokrasia na Utawala Bora kama Tanzania si vema Rais kuzungumza lugha ya vitisho na kutumia silaha za moto kwa wafanyakazi kwa jambo la kudai haki zao kisheria.”
Katika hotuba yake hiyo iliyodumu kwa takriban saa moja na nusu juzi, Rais Kikwete, pamoja na mambo mengine, aliweka bayana kuwa viongozi wa TUCTA waliitwa kwenye kikao kwa ajili ya kuwasilisha mada kuhusu utozaji kodi kwa wafanyakazi na badala ya kufika saa nne kama walivyopaswa wao walifika saa nane.
Lakini jana TUCTA katika mkitano uliofanyika katika Ofisi za Shirika la Kazi Duniani (ILO) Dar es Salaam walionyesha barua ya mwaliko inayotaja muda waliopaswa kufika kuwa ni saa nane na si saa nne kama alivyokuwa amesema Rais Kikwete juzi katika hotuba yake.
Barua hiyo yenye kumbukumbu namba TYC/B/280/69 ya Aprili 22, 2010, ikiwa imeandikwa kutoka Wizara ya Fedha na Uchumi, ikiwa saini Shogholo Msangi kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, inawaalika TUCTA kuhudhuria kikao hicho Aprili 23, 2010.
Inasema barua hiyo: “Nimeagizwa nikualike tarehe 23/04/2010 saa 8:30 mchana ili uwasilishe mada yenye hoja ya Shirikisho la Wafanyakazi inayohusu kodi wanayotozwa wafanyakazi. Tunategemea ushirikiano wako katika suala hili.”
Nakala ya barua hiyo ilitolewa kwa waandishi wa habari mara baada ya kukamilika kwa kikao cha uongozi wa TUCTA katika ofisi za ILO, Dar es Salaam.
Aidha, katika hatua nyingine, TUCTA wanadai kuwa uamuzi wa Rais Kikwete kutangaza katika hotuba yake kuwa mgomo ni batili si jukumu lake kwa mujibu wa sheria namba sita ya mwaka 2004 na kwamba hiyo ni sawa na kuingilia uhuru wa Mahakama.
“Tunasisitiza pia kuwa mamlaka sahihi ya kubatilisha mgomo kwa mujibu wa sheria namba sita ya mwaka 2004 ni Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi,” inaeleza taarifa ya TUCTA.
Wakuzungumzia majadiliano ya kiwango cha mshahara, TUCTA walieleza kuwa Serikali iliwaita kwenye mazungumzo Machi mwaka huu, mazungumzo ambayo walifafanua kuwa yalikuwa yamepitwa na wakati kwa mujibu wa sheria ya majadiliano ya watumishi wa umma namba 19 ya mwaka 2003.
Katika hotuba yake, Rais Kikwete aliwaita wafanyakazi wa TUCTA kuwa ni wanafiki na kuonyesha kuwa Serikali haina uwezo wa kulipa mishahara ya kima cha chini cha Sh 315,000 kama walivyopendekeza wao na kwamba bajeti ya kulipa mishahara hiyo inazidi mapato yanayokusanywa na serikali.
Rais aliweka bayana pia kuwa TUCTA ilikubali kuendelea na mazungumzo Mei 8, mwaka huu na kwamba anashangazwa na uamuzi wao wa kuitisha mgomo ilihali wamekubali kuendelea na mazungumzo.
Kutokana na hali hiyo, Rais Kikwete alionya wafanyakazi nchini kutogoma na kama wakigoma watawajibishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za ajira na kuweka bayana kuwa yeye ndiye mwajiri mkuu kwa upande wa Serikali.
Taarifa zilizotufikia tukienda mitamboni zilieleza kwamba kulikuwa na hofu miongoni mwa watendaji wa TUCTA na kwamba kulikuwa na uwezekano kwamba walikuwa wanatishwa.
Lakini pamoja na hatua ya uongozi wa TUCTA kutangaza kuahirisha mgomo hali ya mambo ilikuwa tete jana kutokana na wafanyakazi mbalimbali kukasirishwa na kauli walizoziita za vitisho za Rais Kikwete.
Baadhi ya wafanyakazi wakiwamo wa taasisi nyeti za Serikali walieleza kushangazwa na kusikitishwa na kauli ya Rais Kikwete, wakielezea kwamba ilijaa jazba na haikufaa kutolewa wakati huu.
Katika kuonyesha hali si shwari, mkutano wa TUCTA na waandishi wa habari uliokuwa ufanyike jana katika ofisi za shirikisho hilo eneo la Mnazi Mmoja, ulihamishiwa katika jengo la ILO lililopo katikati ya jiji katika mazingira ya kutatanisha.
Mbali ya viongozi wa TUCTA, kuna taarifa za kuwa baadhi ya watu mashuhuri wakiwamo wanasiasa na wanaharakati wameanza kufuatiliwa wakihofiwa kuchochea mgomo wa wafanyakazi kwa maslahi yao kisiasa.
Mvutano baina ya Serikali na TUCTA ni wa muda mrefu ukilenga zaidi maslahi ya wafanyakazi ambayo TUCTA wanadai ni duni na mwaka huu mwanzoni uliongezwa makali kutokana na hatua ya TUCTA kutangaza kwamba safari hii Rais asingealikwa kama mgeni rasmi siku ya Mei Mosi.
Mvutano huo ulionekana dhahiri Jumamosi ya Mei Mosi baada ya wafanyakazi kufanya sherehe mbili moja ikihudhuriwa na viongozi wa serikali nyingine ikihudhuriwa na viongozi wa Upinzani.
CHAMA CHA MAPINDUZI.
TAWI LA MOSCOW –URUSI.
02 May 2010.
TAARIFA KWA WANACHAMA, WAPENZI NA WAKEREKETWA CCM-TAWI LA MOSCOW-URUSI JUU YA KUITISHWA KWA MKUTANNO MKUU WA TAWI.
Husika na kichwa cha habari hapo juu, napenda kuchukua nafasi hii kuwataarifu ya kuwa barua yenu niliyoipokea tarehe 25 april 2010 kuhusu ombi la kuitishwa kwa mkutano mkuu wa Tawi CCM –Moscow imeshughulikiwa , pia naomba radhi kwa kutofanikisha mkutano huo tarehe 02 may 2010 kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu.. Kwa mujibu wa katiba ili kuitishwa kwa mkutano mkuu ni lazima Sekretarieti ya Halmashauri kuu ya Tawi ijadili agenda na kupanga tarehe ya mkutano na baada ya hapo kuitisha mkutano wa Halmashauri kuu ya Tawi ili iweze kupitisha agenda hizo.
Sekretarieti ya Halmashauri kuu ya Tawi ilifanya kikao chake tarehe 02 may 2010 na ilikubaliana kuwa itaitisha kikao cha Halmashauri Kuu ya Tawi tarehe 09 may 2010 na tarehe 23 may 2010 ndio tarehe iliyopangwa kwa ajili ya mkutano mkuu wa CCM- Tawi la Moscow Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Tawi ilipenda sana mkutano huo ufanyike tarehe 16 may 2010 lakini haitawezekana kwa sababu siku hiyo itakuwa ni siku ya uchaguzi mkuu wa viongozi wa jumuiya ya wanafunzi wanaosoma chuo cha Lumumba (TSU). Mahali na muda kamili wa mkutano huo mtajulishwa mara tu baada ya mkutano wa Halmashauri Kuu ya Tawi.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Katibu wa Tawi
CCM-Moscow
Bi. Kengese Neema C.
Albino wawili wauawa Burundi
Mauaji ya Albino bado yanaendelea Burundi
Watu waliokuwa wamejihami kwa mapanga wamemuua mwanamke Albino na mtoto wake wa miaka minne nchini Burundi.
Inaarifiwa kuwa maiti za wawili hao ilikatwakatwa vibaya katika mkoa wa Cankuzo, unaopakana na Tanzania.
Mwenyekiti wa chama cha maalbino nchini humo, Kassim Kazungu, ameelezea BBC kuwa anashuku wauaji walitoroka gerezani na walikuwa wamehukumiwa kwa makosa ya kuwashambulia maalbino.
Aliongeza kuwa shambulio kama hilo halijashuhudiwa Burundi katika kipindi cha mwaka mmoja.
Baadhi ya watu wanaamini kuwa viungo vya mwili wa albino vinaweza kuwatajirisha.
Dola za Kimarekani zamponza mfanyakazi
MFANYAKAZI wa Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Mwalimu Nyerere, Said Kajembe, 28), jana alifikishwa Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu shtaka la kupatikana na pesa za kigeni kinyume cha sheria.
Mfanyakazi huyo ameshtakiwa kwa kosa la kukutwa na dola 39,800 za Kimarekani (karibu Sh54 milioni za Kitanzania), kinyume cha sheria.
Mrakibu wa polisi, Naima Mwanga alidai mbele ya Hakimu Janeth Kaluyenda kuwa Aprili 29 mwaka huu, saa 3:45 usiku mtuhumiwa akiwa uwanja huo alikamatwa na mmoja wa maofisa wa polisi na baada ya kupekuliwa alikutwa akiwa na kiasi hicho cha fedha.
Hata hivyo mtuhumiwa alikana alikana kufanya kosa hilo na mahakama imeahirisha kesi hiyo hadi Mei 18 mwaka huu itakapotajwa tena baada ya upande wa mashtaka kudai upelelezi bado haujakamilika.
Wakati huohuo, wakazi wawili wa Buguruni wamepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Mwanzo ya Kariakoo kujibu tuhuma za kumshambulia kwa kumpiga mgambo wa manispaa hiyo na kumnyofolea vifungo vya sare za kazi.
Karani wa mahakama hiyo, Atanawe Kitogo aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni Jabir Abdalah, 42, na Amini Athuman, 32, ambao ni wakazi wa jijini Dar es Salaam.
Wawili hao wanadaiwa kutenda kosa hilo Mei 2 wakiwa Mtaa wa Kongo ambako walimfanyia fujo askari huyo kwa kumnyofolea vifungo vya shati na kusababisha simu ya mkononi yenye thamani ya Sh80,000 kupotea.
Mtuhumiwa alikana kufanya kosa hilo na mahakama imeahirisha kesi hiyo hadi Mei 18.
A suicide car bomber has killed one person and injured two security guards outside a CIA base in eastern Afghanistan’s Khost province. A US Army spokesman says the bomber blew himself up before entering the base.
It is the same location where the US intelligence agency suffered one of the most lethal attacks in its history in December last year.
The suicide bomber was in a vehicle packed with explosives, a statement released by the Afghan Interior Ministry said.
It comes at the height of Afghanistan’s opium poppy harvest, which helps fund the Taliban.
Russian authorities are dismayed at the conspicuous absence of Doku Umarov, the architect of last month’s brutal attack on the Moscow Metro, on Washington’s annual list of terrorists.
On the morning of March 29, 2010, two female suicide bombers boarded packed subway carriages in the heart of the Russian capital and detonated their explosives, killing 40 innocent people and injuring scores. As a palpable wave of fear spread across the city, Muscovites were temporarily stricken by memories of past terrorist attacks, while at the same time they were attempting to call friends and loved ones to confirm their safety. Clearly a classic case of unadulterated terrorism, if ever there was one.
Read more
Several days later, Doku Umarov, the self-proclaimed head of the unrecognized Caucasus Emirate, claimed responsibility for the bombings. Here is how Pravda.ru reported on the attacks:
“Doku Umarov is the name and the face of sheer evil whom Western media outlets refer to as a ‘rebel leader’, a terrorist chief in Chechnya who has claimed responsibility for Monday’s outrage in Moscow in which 39 people were murdered and over 70 injured… Prime Minister Vladimir Putin has vowed to capture the terrorist elements that perpetrated these two outrages, which together killed 66 people and wounded nearly 100.”
America's Terrorist Listing
1. Abu Nidal Organization (ANO)
2. Abu Sayyaf Group
3. Al-Aqsa Martyrs Brigade
4. Al-Shabaab
5. Ansar al-Islam
6. Armed Islamic Group (GIA)
7. Asbat al-Ansar
8. Aum Shinrikyo
9. Basque Fatherland and Liberty (ETA)
10. Communist Party of the Philippines/New People's Army (CPP/NPA)
11. Continuity Irish Republican Army
12. Gama’a al-Islamiyya (Islamic Group)
13. Hamas (Islamic Resistance Movement)
14. Harakat ul-Jihad-i-Islami/Bangladesh (HUJI-B)
15. Harakat ul-Mujahidin (HUM)
16. Hizballah (Party of God)
17. Islamic Jihad Group
18. Islamic Movement of Uzbekistan (IMU)
19. Jaish-e-Mohammed (JEM) (Army of Mohammed)
20. Jemaah Islamiya organization (JI)
21. Kahane Chai (Kach)
22. Kata'ib Hizballah
23. Kongra-Gel (KGK, formerly Kurdistan Workers' Party, PKK, KADEK)
24. Lashkar-e Tayyiba (LT) (Army of the Righteous)
25. Lashkar i Jhangvi
26. Liberation Tigers of Tamil Eelam (LTTE)
27. Libyan Islamic Fighting Group (LIFG)
28. Moroccan Islamic Combatant Group (GICM)
29. Mujahedin-e Khalq Organization (MEK)
30. National Liberation Army (ELN)
31. Palestine Liberation Front (PLF)
32. Palestinian Islamic Jihad (PIJ)
33. Popular Front for the Liberation of Palestine (PFLF)
34. PFLP-General Command (PFLP-GC)
35. Tanzim Qa'idat al-Jihad fi Bilad al-Rafidayn (QJBR) (al-Qaida in Iraq) (formerly Jama'at al-Tawhid wa'al-Jihad, JTJ, al-Zarqawi Network)
36. al-Qa’ida
37. al-Qa'ida in the Arabian Peninsula (AQAP)
38. al-Qaida in the Islamic Maghreb (formerly GSPC)
The article expresses the incredulity that many Russians feel today for the West’s “hypocritical stance” in the endless War on Terror. In other words, when an individual or organization dares attack the United States [read: Osama bin Laden], or the interests of the United States, then that entity is immediately branded a “terrorist.” But the same standards, critics say, do not apply for attacks that are waged against Russia or Russian interests.
“The State Department's update of its annual list of official terrorist groups is imminent, but the group that just attacked Moscow won't be on the list,” writes Josh Rogin of Foreign Policy magazine.
Rogin is referring to the so-called Caucasus Emirate, and its self-anointed leader Doku Umarov, who has been busy waging a jihad against the Russian authorities. Umarov, who declared back in 2007 that he was planning to “expand his struggle” and wage war against the United States, Great Britain and Israel as well, does not have his organization rank on the US State Department’s annual list of terrorists.
Yet at least one US Congressman is attempting to get Washington to reverse its decision and give the Caucasus Emirate the notorious ranking that Moscow believes it has earned.
“This is a low profile organization that has continued to carry out high profile acts of terrorism, including the twin bombings in Moscow recently,” Representative Alcee Hastings told The Cable in an interview. “They've got a jihad against Russia and the United States. If that ain't a terrorist organization, I don't know what is.”
Hastings, a Democrat from Florida, submitted a resolution to the House of Representatives on Thursday that outlines his reasons – amongst them Umarov’s connections with Al-Qaeda – for declaring the Caucasus Emirate a terrorist organization.
“The Caucasus Emirate and Al-Qaeda and other international terrorist organizations cooperate with each other and often support each other with regard to personnel, training, financing, and propaganda,” the resolution reads.
Hastings then provides numbers to back up his proposition: “Since its creation in October 2007, the Caucasus Emirate has committed over 900 terrorist attacks on Russian territory, killing more than 900 and wounding more than 1,500 civilians, government officials, police, military, and security personnel.”
These acts of violence against innocent civilians constitute genuine acts of terrorism, Hastings argues, because they “are clearly intended to spread fear across all levels of society, injure, at least psychologically, a far greater number of people than those physically present at the scene of the attack.”
Why exclude Umarov?
Washington’s refusal to recognize Doku Umarov, who anointed himself the “Emir” of an Islamic state that cuts across Russia’s volatile Caucasus, and his gang as a bona-fide terrorist organization is a mystery.
First, Umarov, much like the Taliban in Afghanistan, has dreams of building a sprawling Islamic state – called the Caucasus Emirate – that is based on strict Sharia Law. Needless to say, democratic principles have no place in such a world.
Umarov, 45, stressing that he was against all “infidel” laws or rules, said he rejected democracy as a system of governance because it was invented by non-Muslims. This is in direct contradiction to Washington’s stated goal, notably prevalent during the former administration of George W. Bush, of “spreading democracy” to all four corners of the planet. But it should not be forgotten that the US fell back on its condescending campaign of democratic seed-planting after it became embarrassingly clear that Iraq was not harboring weapons of mass destruction. So perhaps the democratic credentials of friend or foe alike is not what really interests Washington the most.
“Mujaheddin in the Caucasus do not fight for democracy, they fight for Sharia,” the rebel leader said in a statement broadcast over the Internet.
He also made it clear that his “rebel movement” would not be confined to Chechen borders. “Thousands of mujaheddin of the multinational Caucasus have risen to take part in Jihad,” he bragged on another occasion. “Our bases spread from Azerbaijan to Abkhazia.”
Finally, what does the United States have to gain by excluding an individual and his organization that has clearly declared war on Russia, not to mention other Western nations, including America? After all, what happened to cooperation in the War on Terror between Moscow and Washington, or does that only apply, as some observers suggest, when it is specifically US interests that are at risk?
Dmitry Babich, a political analyst from RIA Novosti news agency, believes that Washington’s reluctance to view Umarov as a terrorist derives from “an anti-Russia bias. Anyone fighting Russian ‘imperialism’, as they call it, is basically not a bad man.”
In the final analysis, Washington seems to have forgotten – perhaps more out of superpower self-centeredness than any real intention to harm US-Russian relations – that Moscow has already upped the ante quite high in the War on Terror.
Russia now grants US military cargo flights passage over Russian territory in order for coalition forces to do battle against the Taliban in Afghanistan, as well as provide valuable intelligence services to coalition forces.
Ironically, however, many Americans forget the reason why the United States is fighting a protracted war against the Taliban in the first place – because on September 11, 2001, a Muslim named Osama Bin Laden allegedly initiated the greatest act of terrorism against the United States from his mountain hideout in Afghanistan. George W. Bush demanded that the Taliban hand him over, while the Taliban demanded proof of Bin Laden’s guilt. The rest of the story is history.
Today, both Osama Bin Laden and Doku Umarov are free men and passionately dedicated to fighting their proclaimed enemies to the death. This fact alone should make the US stand firm with Russia in the face of a common threat, not resort to cheap politics for possible geopolitical gains.
A group of ten armed men stormed a gas distribution station in Russia’s Southern Republic of Dagestan on Monday. Parts of the station were reportedly blown up, causing damage to the station’s equipment.
The connection with the gas stations in the republic has been lost and gas supplies in eight regions have been affected.
Read more
Officials say the militants also shot at a nearby mobile phone mast. However, they did let go the station's manager and his family, who live on the site of the station, prior to attacking it.
Police and gas specialists are now trying to secure the fuel depot.
Mafuta yanayosambaa baharini kutoka katika kisima cha mafuta cha chini ya bahari yameanza kufika ufukweni mwa pwani ya jimbo la Louisiana nchini Marekani.Mafuta yanayovuja kutoka katika kisima cha chini ya bahari katika eneo la ghuba ya Mexico yameanza kuenea hadi ufukweni katika jimbo la Louisiana hivyo kuwa kitisho cha janga la mazingira.
Washington
Mafuta yanayovuja kutoka katika kisima kwenye eneo la ghuba ya Mexico yameanza kuenea hadi ufukweni katika jimbo la Louisiana jana na hivyo kuwa kitisho cha janga la kimazingira. Rais Barack Obama wa Marekani ametoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kina wa janga hilo.
Siku ya Alhamisi upepo mkali kutoka kusini mashariki ulisukuma utando wa mafuta hayo hadi katika mwambao ulioko katika eneo ambalo mto Mississipi huingia baharini. Shirika la mafuta la Uingereza , BP limesema litawajibika vilivyo kutokana na kuvuja kwa mafuta hayo na litalipa fidia kwa madai yatakayotolewa kuhusiana na janga hilo. Kwa mujibu wa wataalamu, makadirio ya mwanzo ya kusafisha utando huo wa mafuta yatagharimu kati ya Dola bilioni mbili na bilioni tatu.
RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Amani Abeid Karume ameeleza kusikitishwa na viongozi wa kisiasa wanaopita mitaani wakihamasisha wananchi kususa kura ya maoni ya kuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa visiwani hapa.
Karume ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), alitoa kauli hiyo juzi jioni, wakati akifungua kongamano la viongozi wa matawi ya CCM katika vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu kwenye Hoteli ya Bwawani mjini hapa.
Kiongozi huyo alikwenda mbele na kusema ni jambo la kusikitisha kwamba miongoni mwa watu wanaopinga suala hilo ni wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, kikao ambacho ndicho kilichobariki azimio hilo.
Mbali ya hilo, Karume alisema iko siku ambayo hakuitaja, atalazimika kuwataja kwa majina wanasiasa hao wanaokwenda kinyume na matarajio mema ya Wazanzibari.
“Acheni kutia aibu katika suala hili kwa kushawishi wananchi kukataa kupiga kura ya maoni juu ya serikali ya umoja wa kitaifa…hili ni muhimu sana kwetu.
“Sitaki kuendelea zaidi katika suala hili kwa sababu hapa hapa katika mkutano huu wapo na wanajijua wenyewe, kwa hivyo kwa leo bora niishie hapa maana naweza kuwaumbua, viongozi wanaopinga suala hili wapo hapa,” alisema Rais Karume.
Pamoja na hilo, aliwataka viongozi wa matawi wa chama hicho katika vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu nchini kutumia vyema elimu yao kwa kusimamia umoja, mshikamano, amani na utulivu.
Akiizungumzia CCM, alisema kuwa imeweza kujenga misingi madhubuti ya kusimamia umoja, amani, mshikamano na utulivu kwa lengo la kupata mafanikio zaidi hali ambayo vijana wanapaswa kuitekeleza kwa nguvu zote.
Kwa sababu hiyo alisema anawashangaa wajumbe wa NEC ambao wamepitisha serikali ya umoja wa kitaifa katika vikao halali vya chama, wakigeuka na kupita kushawishi watu kukataa serikali ya aina hiyo wakati ndiyo yenye ufumbuzi wa matatizo ya muda mrefu ya kisiasa yanayoikumba Zanzibar.
Alisema kitendo cha kupinga hilo ni sawa na kupinga maamuzi halali ya chama kinachongoza na kuwa kitendo hicho hakiwezi kuvumilika hata kidogo.
Karume alisema watu wanaopita mitaani na kushawishi watu wasipige kura wakati ukiwadia, ipo siku watatajwa hadharani ili jamii iwatambue.
Aidha, alisema kiongozi yeyote asiyependa umoja wa kitaifa ni hatari sana na anatakiwa kuogopwa na kila mmoja kwa sababu kamwe hawatakii mema wananchi wa Zanzibar wala Tanzania.
Kutokana na wajasiriamali wengi hapa nchini kukosa mbinu na maarifa ya kutafuta masoko ya nje ya bidhaa zao, wengi wao wamekuwa wakiuza bidhaa hizo kiholela kama inavyoonekana pichani wajasiriamali hawa katika mji mdogo wa Chalinze wakitafuta wanunuzi kwenye mabasi mwishoni mwa wiki.
Akiitaja mikoa ambayo viongozi hao walitiwa mbaroni na kuwekwa ndani, Mtatiro alisema kuwa ni pamoja na Dar es Salaam (5), Pwani (5), Morogoro (2), Tanga (58), Dodoma (2), Tabora (8), Singida (2) na Kagera (6).
Mikoa mingine ni Kigoma (1), Lindi (6), Mara (5), Mtwara (10), Mwanza (11), Rukwa (1), Ruvuma (4), Shinyanga (12) ambao jumla yake ni viongozi 138.
HOMA ya uchaguzi imeanza kupanda kufuatia Chama Cha Wananchi(CUF), kuwatuhumu jeshi la Polisi, kikidai kwamba wameanza kutekeleza kauli mbiu ya ‘Ushindi ni Lazima 2010’, iliyozinduliwa na Chama cha Mapinduzi(CCM) kufuatia kukamatwa jumla ya viongozi 138 wa mitaa, vijiji na vitongoji, tuhuma ambazo hazikufafanuliwa na jeshi hilo.
CCM ilizindua kauli mbiu hiyo hivi karibuni katika ukumbi wa Mlimani City sanjari na uzinduzi wa programu maalumu ya harambee ya kutunisha mfuko wa uchaguzi wa chama hicho kwa njia ya mtandao ambao, unahitaji jumla ya Sh40 bilioni.
Akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya CUF Buguruni jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Haki za Binadamu na Sheria wa chama hicho, Julius Mtatiro, alisema Polisi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wanahusika moja kwa moja katika kufanikisha kauli mbiu hiyo ya CCM.
“Kwa nini viongozi wetu 138 ambao ni wenyeviti wa mitaa, vijiji na vitongoji tunaowategemea katika kuimarisha chama katika maeneo yao wakamatwe na kuwekwa ndani na kubambikiziwa kesi za jinai, ambazo hata dhamana hupati?,”alisema.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, John Chiligati alisema CUF haina ushahidi juu ya hayo na kwamba inajisemea tu kutokana na homa yao ya uchaguzi.
“Mimi nadhani ni homa ya uchaguzi tu, naamini wanajisemea kwa sababu Polisi wana taratibu, sheria, kanuni na miongozo yao katika kufanya kazi zao,” alisema Chiligati.
“Polisi wakitaka kumkamata mtu hawamuulizi kabila, rangi wala dini, hata ukienda huko magerezani au mahubusu hata CCM wako wengi, hii ni kwa sababu uhalifu hauna itikadi, rangi, kabila wala dini.”
Naye Msemaji wa Polisi, Abdallah Msika alipolizungumzia suala hilo alisema hana majibu ya tuhuma hizo kwa sasa hadi hapo atakapokutana na viongozi wenzake wa polisi.
“Sijui nijibu nini kwa sasa, kwani wewe ndio unanipa taarifa, ni vema ukaandika maswali yako ukaleta hapa ofisini kesho (leo), halafu tukayapeleke kwa viongozi ili upate majibu yake,” alisema Msika.
“Kwa sababu msemaji si papo kwa hapo kama ulivyouliza, wewe andika maswali, ulete hapa, halafu tutakujibu,”.
Kwa upande wa Mtatiro alisema baadhi ya viongozi waliokamatwa walikuwa wanategemewa majimboni kwao kugombea nafasi mbalimbali za uongozi zikiwamo za ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 30 mwaka huu nchini kote.
“Tangu ufanyike uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji Oktoba mwaka jana, kumekuwa na mfululizo wa matukio ya kukamatwa kwa viongozi wetu wa vijiji, mitaa na vitongoji walioshinda katika uchaguzi huo,” alisema Mtatiro.
Kwa mujibu wa Mtatiro mikoa ya Tanga, Shinyanga, Mwanza, Mtwara na Tabora inaongoza kwa kukamatwa viongozi hao kwa wingi
Rais wa Rwanda Paul Kagame amewasili Marekani, akipuuza kesi iliyofunguliwa nchini humo dhidi yake kutokana na mauaji ya Marais wawili wa Kiafrika mwaka 1994.
Bw Kagame alizungumza katika sherehe zilizofanyika mjini Oklahoma kuwatunukia shahada wanafun zi wa Kinyarwanda.
Kagame alituhumiwa na Ufaransa kwa mauaji ya Marais wawili wa zamani wa Afrika
Wajane wa waliokuwa viongozi wa Burundi na Rwanda, ambao vifo vyao viliibua mauaji ya kimbari ya mwaka 1994, wamesema Bw Kagame aliamuru ndege yao itunguliwe.
Bw Kagame amekanusha tuhuma hizo. Mawakili waliofungua kesi hiyo hawakuweza kuwasilisha nyaraka za kisheria wakati wa ziara yake.
Rais Kagame alikuwa mzungumzaji mkuu wakati wa sherehe hizo zilizofanyika katika Chuo Kikuu cha Kikristo cha Oklahoma Christian University siku ya Ijumaa.
Alipeana mikono na wanafunzi wa Rwanda pamoja na wasomi wengine na alisema elimu itakuwa ni njia pekee ya kuisaidia nchi yake kuendelea kuondokana na maumivu ya mauaji ya kimbari.
Hata hivyo aliondoka mapema kabla sherehe hazijamalizika na hakutamka lolote juu ya kesi iliyofunguliwa. Watu walioshuhudia wamesema alikuwa amezungukwa na walinzi.
Fidia
Wajane wa Marais wa zamani Juvenal Habyarimana wa Rwanda na Cyprien Ntaryamira wa Burundi hawaishi Marekani, lakini kwa mujibu wa mawakili wao waliamua kufungua kesi ya mauaji mjini Oklahoma kwa sababu ya uhusiano alionao Bw Kagame na Chuo Kikuu hicho. Wanadai fidia inayofikia dola za Marekani milioni 350.
Mjane wa Rais wa zamani wa Rwanda Agathe, anadai fidia kwa serikali ya Rwanda
Msemaji wa Chuo Kikuu hicho ameliambia shirika la habari la Associated Press kwamba Bw Kagame amekwenda chuoni hapo kwa heshima ya wanafunzi na hatajihusisha na masuala ya "siasa ya nchi yake".
Mwaka 1994 Bw Kagame alikuwa kiongozi wa waasi akiongoza chama cha Rwandan Patriotic Front (RPF), kilichoiangusha serikali iliyokuwa madarakani.
Ndege iliyowachukua Rais Habyarimana ambaye alikuwa ni Mhutu na Bw Ntaryamira iliangushwa tarehe 6 mwezi wa Aprili mwaka 1994. Serikali ya Wahutu wenye siasa kali iliwashutumu RPF kwa kuhusika na utunguaji wa ndege hiyo.
Muda mfupi baadae, wanaharakati waliweka vizuizi barabarani na kuanza maujia ya Watutsi na Wahutu waliokuwa na msimamo wa wastani kwa wakati mmoja. takriban watu 800,000 waliuawa wakati wa wimbi la mauaji hayo yaliyochukua siku 100.
Uhusiano na Ufaransa
Mara zote RPF imekuwa ikiwashutumu Wahutu wenye msimamo mkali kwa kuiangusha ndege ya Marais hao, ili kupata kisingizio cha kutekeleza mipango yao ya mauaji.
Bw Kagame pia alikuwa anatuhumiwa na Ufaransa kuhusika na utunguliwaji wa ndege hiyo.
Mapema wiki hii vyombo vya habari vya Ufaransa viliripoti kwamba jaji wa Paris anayechunguza kuangushwa kwa ndege hiyo, Marc Trevidic, alikuwa na mipango ya kuwatuma wataalam nchini Rwanda.
Jaji aliyechukua nafasi ya Bw Trevidic, Jean-Louis Bruguiere, ameituhumu RPF kwa kuitungua ndege hiyo na ametaka Rais Kagame akamatwe.
Hatua hiyo ilisababisha Rwanda kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa. Serikali ya Rwanda pia imeishutumu Ufaransa kwa kuwaunga mkono watawala walioangushwa wa Kihutu.
WAKATI zikiwa zimebakia siku nne kabla ya kuanza kwa mgomo wa wafanyakazi wote ulioitishwa na Tucta, serikali jana ilitangaza viwango vipya vya kima cha chini cha mshahara kwa wafanyakazi wa sekta binafsi, lakini hali inaonekana kuwa ngumu kwa wafanyakazi wa serikalini.
Awali Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Prof Juma Kapuya alitangaza kuwa serikali ingetoa tamko kuhusu kima cha chini cha mshahara wa wafanyakazi wa serikalini kabla ya Mei mosi, lakini hakuweza kufanya hivyo jana na badala yake aliibuka na mishahara ya sekta binafsi.
Lakini, jana Kapuya alisema walikuwa wakiendelea na mazungumzo kati ya serikali na wawakilishi kutoka vyama vya wafanyakazi kwenye kikao cha utatu kilichoitishwa na Baraza la Upatanishi (Lesco), ili kujadili hoja hizo saba zilizotangazwa na Tucta.
Waziri Kapuya aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa tamko namba 233 la serikali la kima cha chini cha mshahara lililotolewa mwaka 2007 limefutwa na kuanzia leo linatumika tamko jipya namba 172 la kima cha chini cha mshahara la mwaka 2010.
Alisema viwango hivyo vya mishahara ya wafanyakazi wa sekta binafsi, linawagusa wafanyakazi wote katika sekta hiyo.
Profesa Kapuya alisema kuwa katika sekta ya kilimo kima cha chini cha mshahara ni Sh70,000 ikiwa ni ongezeko kutoka Sh50,000, wakati sekta ya biashara na viwanda kima cha chini ni Sh80,000, kima cha chini kwa sekta ya mawasiliano na usafirishaji wa huduma za anga mshahara ni Sh350,000 na wasafirishaji wa mizigo (clearing and forwarding) ni Sh230,000.
Kwa mujibu wa tamko hilo, kima cha chini kwa sekta ya mawasiliano ya simu ni Sh300,000, wakati kima kipya cha chini kwa sekta ya usafiri wa nchi kavu (makondakta na madereva) Sh150,000 na meli za uvuvi ni Sh165,000.
Wafanyakazi wa majumbani wamegawanywa katika makundi matatu ambayo ni wanaofanya kazi kwa mabalozi kima cha chini ni Sh90,000; wanaowafanyia maofisa wanaolipiwa huduma hiyo na waajiri wao ni Sh 80,000 na wengine Sh65,000.
Kima cha chini kwa wanaofanya kazi za hoteli za kitalii ni Sh150,000 na hoteli za kati Sh100,000 wakati hoteli ndogondogo, baa, nyumba za wageni na migahawa ni Sh80,000.
Katika sekta ya madini, upande wa migodi mikubwa, wafanyakazi watalipwa Sh350,000, wachimbaji wadogo, ambao walikuwa wakilipwa Sh80,000, sasa watalipwa Sh150,000, wakati kima cha chini kwa sekta ya biashara na usafirishaji madini ni Sh250,000, huku madalali katika sekta ya madini wakilipwa Sh150,000.
Katika sekta ya biashara na viwanda, kima cha chini ni Sh80,000, sekta ya ulinzi binafsi, kampuni za kigeni ni Sh105,000 na kampuni nyingine Sh80,000, huku kima cha chini kwenye huduma ya afya kikipangwa kuwa Sh80,000
Alisema katika sekta ambazo hazikutajwa, kima cha chini kitakuwa Sh80,000.
Profesa Kapuya alisema mwajiri haruhusiwi kulipa chini ya viwango vilivyotajwa, lakini anaweza kukiongeza kwa kadri anavyopenda ili kuboresha hali za wafanyakazi wao.
“Waajiri wajitahidi kutekeleza kama vilivyotangazwa na serikali ili kuepusha migogoro mbalimbali sehemu za kazi,” alisema Profesa Kapuya.
Kuhusu mgomo wa wafanyakazi wote uliopangwa kuanza Mei 5, Kapuya alisema serikali ilikuwa inaendelea na mazungumzo na Tucta juu ya kima cha chini cha wafanyakazi wa serikalini. Awali, Kapuya aliahidi kutoa tamko hilo kabla ya Mei mosi.
UFAULU wa mtihani wa kidato cha sita kwa mwaka huu umepungua kwa asilimia moja ikilinganishwa na mwaka jana.
Wavulana wameibuka kidedea kwa kushika nafasi zote 10 bora. KWA MATOKEO KAMILI BOFYA HAPA
Pamoja na hayo, masomo ya Sayansi, Biashara na Hisabati ni miongoni mwa yaliyoongoza kwa kufaulisha wanafunzi wengi ikilinganishwa na Sayansi ya Jamii na Sanaa, huku wanafunzi wengi wakifeli zaidi katika masomo ya lugha za Kiswahili na Kiingereza.
Akisoma matokeo ya kidato cha sita ya mwaka huu Dar es Salaam jana, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dk. Joyce Ndalichako, alisema , asilimia 87.24 ya wanafunzi waliofanya mtihani walifaulu mtihani huo, ikilinganishwa na asilimia 88.85 ya mwaka jana.
Hata hivyo waliofaulu kati ya daraja la kwanza na la tatu ni asilimia 78.53 tu ya waliofanya mtihani. Mchanganuo wa Necta unaonesha kuwa daraja la kwanza waliofaulu ni asilimia 7.25, daraja la pili (20.23%), daraja la tatu (51%), daraja la nne (13.51%) na waliopata sifuri ni asilimia 7.97 ya wanafunzi wote.
Kwa mtazamo huo, kwa vigezo vya awali vya wanafunzi watakaopata udhamini wa Serikali kuingia vyuo vikuu ni asilimia 27.48 ya wanafunzi wote waliofanya mtihani huo kwa maana ya waliopata daraja la kwanza na la pili.
Tofauti na ilivyokuwa katika matokeo ya kidato cha nne, katika matokeo ya kidato cha sita sekondari za Serikali zimejitokeza zaidi kutoa wanafunzi bora.
Dk. Ndalichako aliwataja walioshika nafasi ya 10 bora katika mtihani huo kuwa ni Muhagachi Chacha wa Kibaha, Samweli Katwale (Mzumbe), Amiri Abdallah (Feza Boys), Aron Gerson na Shaban Omary wa Tabora Boys na Kudra Baruti (Feza Boys).
Wengine ni George Assenga wa Majengo Sekondari, Comman Nduru (Feza Boys), Francis Josephat (Tabora Boys) na George Felix (Mzumbe).
Kutokana na nafasi zote 10 bora kuchukuliwa na wanaume, Dk. Ndalichako alisema Necta ilitengeneza orodha maalumu ya 10 bora ya wasichana peke yao.
Katika orodha hiyo, wasichana walioongoza ni Doreen Kabuche wa Benjamin Mkapa, Rahabu Mwang’amba (Kilakala), Mary Moshi (Kifungilo Girls), Nuru Kipato (Marian Girls), Zainab Hassan (Al-Muntazir Islamic).
Nafasi ya sita kwa kundi hilo maalumu ilichukuliwa na Catherine Temu wa Ashira, Anthonia Lugomo (Usongwe), Cecilia Mville (Kifungilo Girls), Mariam Matovolwa (Kilakala) na Suzana Makoi (Tarakea).
Shule bora iliyoongoza kwa kufaulisha katika kundi la shule zenye wanafunzi zaidi ya 30 ni Marian Girls iliyofuatiwa na Feza Boys, Kifungilo, Kibaha, St Mary’s Mazinde, Ilboru, Tabora Boys, St Mary Goreti, Mzumbe na Mafinga Seminari.
Kundi la shule bora zenye wanafunzi chini ya 30, lilikuwa na shule nyingi za seminari zikiongozwa na Seminari za Uru, St James, Same, Maua na Dungunyi. Nyingine ni DCT Jubilee, Parane, St Joseph-Kilocha, Mlama na ya Wasichana Masama.
Somo lililoongoza kwa kufaulisha wanafunzi wengi ni Uchumi lililofaulisha asilimia 93 ya watahiniwa na kufuatiwa na Biashara (88.7%), Advanced Mathematics (81.5%), Kemia (80.3%), Fizikia (67.03%), Basic Applied Mathematics (50.69%) na Jiografia (9.65%).
Baraza limefuta mitihani ya watahiniwa 12 kutokana na udanganyifu kati yao watano ni wa shule na saba wa kujitegemea ambapo pia watahiniwa 218 matokeo yao yamesitishwa hadi watakapolipa ada ya mitihani.
Inter Milan chini ya Jose Mourinho, ilicheza mechi ya kujihami kuizuia Barcelona isifunge zaidi ya goli moja na kufuzu kucheza fainali ya kombe la ligi ya vilabu bingwa barani Ulaya kwenye mechi iliyochezwa Nou Camp, himaya ya Barcelona.
Mourinho ameiwezesha Inter kufika fainali kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1972.
Wakicheza ugenini na faida ya ushindi wa 3-1 walioupata nyumbani, Inter walilazimika kucheza kwa zaidi ya saa moja wakiwa na wachezaji 10 baada ya Thiago Motta kuonyeshwa kadi nyekundu kwa kumfanyia madhambi Sergio Busquets.
Lakini Barca walishindwa kufungua milango ya Inter mpaka mkwaju wa Gerard Pique ulipohitimisha mpambano huo mkali.
Historia
Baada ya hapo shambulio la Bojan Krkic lilikataliwa na mwamuzi, na Inter walifanikiwa kulinda idadi yao ya magoli kuweza kucheza fainali ya ligi ya vilabu bingwa Ulaya kwa mara ya kwanza tangu 1972.
Miamba hiyo ya Italia, sasa itachuana na Bayern Munich katika fainali itakayopigwa uwanja wa Bernabeu tarehe 22 Mei wakati Mourinho atakapoongoza timu yake kuwania taji hilo kwa mara ya kwanza kwa zaidi ya miaka 40.
Jitihada za Barcelona kuwa timu ya kwanza kutetea kombe hilo, ziliisha kwa uchungu kutokana na Inter Milan kucheza kwa kujilinda na kuikatisha tamaa Barcelona iliyoichapa Arsenal jumla ya magoli 6-2 katika hatua iliyopita.
Wagombea watakaochuana kugombea nafasi mbali mbali za uongozi katika timu ya Simba nchini Tanzania wamejulikana baada ya kutangazwa na kamati ya uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania, TFF.
Awali wagombea 57 waliomba nafasi mbalimbali katika klabu hiyo, kabla ya baadhi yao kuwekewa mapingamizi, kamati hiyo ya TFF ilitangaza orodha ya waliokidhi matakwa.
Katika nafasi ya mwenyekiti, mgombea wa kwanza kuwekewa pingamizi alikuwa ni mwenyekiti anayemaliza muda wake Hassan Dalali ambaye aliondolewa kutokana na vyeti vyake kuwa na matatizo.
Wengine waliowania nafasi hiyo ni Michael Wambura, Aden Rage, Mohamed Nyangamala, Andrew Tupa, Hassan Hassanoo na Zacharia Hans Pope. Hata hivyo, Tupa aliondolewa jina lake kwa kukosa sifa, ingawa wote walikuwa wamewekewa pingamizi isipokuwa Hassan Hassano.
Mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi ya TFF, Deo Lyatuu alisema baada ya mahojiano na wote waliowekewa pingamizi, ni Aden Rage pekee ndiye aliyesalimika ambaye atasimama na Hassano kupigania nafasi ya mwenyekiti.
Katika nafasi ya makamu mwenyekiti, katibu mkuu wa zamani wa klabu hiyo, Mwina Kaduguda, ameondolewa kutokana na kutotimiza majukumu ya kikatiba ya Simba.
Hata hivyo, Michael Wambura amesema anatafakari uwezekano wa kuchukua hatua za kisheria kupinga uamuzi huo kwa maelezo kuwa amefanyiwa mizengwe.
Uchunguzi uliofanywa na bunge la Uganda kuhusu matumizi mabaya ya fedha za serikali umependekeza kuwa Makamu wa Rais, Gilbert Bukenya, na mawaziri kadhaa na mawaziri kadhaa wanatakiwa kufunguliwa mashtaka.
Madai dhidi yao yanatokana na zabuni za serikali zilizotolewa kwa ajili ya mkutano wa viongozi wa Jumuiya ya Madola uliofanyika Uganda mwaka 2007.
Gilbert Bukenya, makamu wa Rais wa Uganda anakabiliwa na tuhuma nzito za ubadhirifu.
Uchunguzi uliofanywa na bunge la Uganda kuhusu matumizi mabaya ya fedha za serikali umependekeza kuwa Makamu wa Rais, Gilbert Bukenya, na mawaziri kadhaa wanatakiwa kufunguliwa mashtaka.
Kamati ya bunge ya mahesabu ya umma imedai kuwa Bw Bukenya alikiuka taratibu katika kuagiza magari maalum ya kutumiwa na viongozi wakati wa mkutano huo. Siku ya Alhamisi, Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, aliitwa mbele ya bunge kujitetea. Haijajulikana aliongea nini, lakini lengo lilikuwa kubaini endapo naye alihusika na kashfa hiyo.
Ripoti ya awali ya kamati hiyo ya bunge inasema, Makamu wa Rais Gilbert Bukenya ambaye alikuwa mwenyekiti wa kamati ya mawiziri iliyokuwa inapanga mkutano huo alikiuka sheria za kutoa zabuni na lazima awajibike.
Tuhuma nzito
Kamati hiyo ya bunge iliyoidhinishwa na Rais Museveni inasema kulikuwepo na udanganyifu katika utoaji wa zabuni kwa watu binafsi na makampuni yaliyotoa huduma wakati wa mkutano huo wa Jumuiya ya Madola uliosababisha serikali kupoteza mamilioni ya dola.
Wana kamati wanasema hatua ya Makamu wa Rais Bukenya ya kukiuka sheria inabainisha jinsi serikali ilivyoonyesha ujeuri na wamesikitika kuwa alikataa kufika mbele yao kujitetea dhidi ya tuhuma hizo.
Mawaziri wengine waliojikuta matatani baada ya uchunguzi huo ni yule wa mambo ya nje, wa utalii vile vile barabara na ujenzi.