Subscribe to receive latest Updates

Online :

You Are Here: Home - HABARI ZA KITAIFA , HABARI ZA LEO - Wananchi wateketeza eneo la mganga wa kienyeji kwa tuhuma la kujimilikisha ardhi

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter Watu wenye hasira kali wameteketeza majengo kadhaa na mbuzi zaidi ya 20 kwa tuhuma za kumiliki eneo la soko na ardhi kubwa kinyume cha sheria Wilayani Geita. Mganga huyo amekituhumu CHADEMA kwakuwashawishi wananchi hao ili kufanya uhalifu huo ambapo anadai heka hizo anazimiliki kwa mujibu wa sheria

0 comments

Post a Comment