Subscribe to receive latest Updates

Online :

You Are Here: Home - HABARI ZA KITAIFA , HABARI ZA LEO - WATOTO WAPATA CHANJO YA BURE MORO

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter

WATOTO wa chini ya mika mitano leo waliendela kupata chanjo ya magonjwa ya Minyoo na upungufu wa Vitamini A katika mitaa yote ya Mji wa Morogoro.


Mtandao huu ulitembele katika mtaa wa Makaburi A kata ya Mji Mpya na kukuta zoezi hilo likiendelea ambapo watoto wachache walijitokeza kupata chanjo hiyo ya bure.


Wakizungumza na mwandishi wetu manesi waliokutwa katika kituo hicho, Esther Phirimoni [Mwenye gauni la kitenge] na Mwanaidi Ramadhni Lungenga, walidai kwamba zoezi hilo, lililoanza Juni 8 linafika tamati leo mjini humo.

0 comments

Post a Comment