You Are Here:
Home -
-
Wataka mechi ipigwe usiku
Wataka mechi ipigwe usiku
Posted by B.M.T on Wednesday, December 23, 2009 //
0
comments
IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII:
| Simba, Yanga kukutana tena |
Miamba ya soka nchini inatarajiwa kukutana tena kwenye nusu fainali ya Kombe la Tusker. Simba ilipata tiketi ya kucheza nusu fainali baada kuichapa Mtibwa 2-1 wakati yanga wao waliwafunga Tusker ya Kenya mabao 3-1 jana kwenye uwanja wa Uhuru. Kwenye mechi nyingine, Tusker itakipiga na Sofapaka
|
Tags:
0 comments