
...Samuel Etoo akitupia bao la pekee katika mechi hiyo.

...Didier Drogba akitoka nje ya uwanja baada ya kuzawadiwa kadi nyekundu.

...Jose Murinho (aliyenyoosha mkono) akimpanikisha kocha wa Chelsea Carlo Ancelotti.
Mbio za Chelsea za kuwania taji ya klabu bingwa barani Ulaya zimeishia ukingoni baada ya kutandikwa bao 1-0 na Inter Milan wakiwa nyumbani Stamford Bridge...

0 comments