Subscribe to receive latest Updates

Online :

You Are Here: Home - - ahahahaaaaa, Usisahau Historia yetu. ...

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter

NILIKUWA NAANGALIA ANGALIA KUMBUKUMBU ZANGU, NIKAKUTANA NA HILI. SII MBAYA TUKAJIKUMBUSHAKUMBUSHA HISTORIA YETU.... NIZAIDI YA MWAKA MMOJA SASA TANGU HAYA YATOKEE...ENDELEA....

FRIDAY, SEPTEMBER 12, 2008

SOONER OR RATHER THAN LATER, WE ARE GOING TO BE IN NATIONAL ADMINISTRATION AND NATIONAL LEGISLATURE

СКОРЕЕ ИЛИ СКОРЕЕ ЧЕМ ПОЗЖЕ, МЫ СОБИРАЕМСЯ быть В НАЦИОНАЛЬНОЙ АДМИНИСТРАЦИИ И НАЦИОНАЛЬНОМ ЗАКОНОДАТЕЛЬНОМ ОРГАНЕ MAAMUZI YANATAKIWA KUFANYIKA KWA NJIA YA MDAHALO NA MARIDHIANO, SIO UONGOZI KUAMUA NA KUSHINIKIZA WENGINE KUFUATA. Imekuwa ni kawaida sasa kwa chama cha wanafunzi nchini Russia kuandaa migomo mbalimbali kuukabili au kuupinga ubalozi (au kupinga mambo mbalimbali kutoka wizara ya elimu na ufundi stadi kupitia Ubalozi wa Tanzania Moscow - Russia). Kwa mara nyingine tena Umoja wa wanafunzi unaandaa mikakati ya kuweza kuwashawishi watanzania kushiriki katika mgomo kutokana na kuchelewa kwa fedha za wanafunzi kwa mwaka 2008/2009. Kwa hakika ni kweli kuwa ucheleweshwaji wa fedha za kujikimu kwa wanafunzi pia umekuwa ni kawaida, ila pia njia inayotaka kutumika katika kushughulikia swala hilo inaonekana ni ya kukurupuka na kujaribu kupoteza maana ya uanafunzi. Cha kusikitisha ni pale anaposikika kiongozi mkubwa katika umoja wa wanafunzi anasema kuwa hawezi tena kutumia diplomasia katika kuukabili ubalozi. je kwa mwelekeo huo tutafika?tutakuwa viongozi wa aina gani kama mtu diplomasia hawezi kuitumia tena? KWA WANAFUNZI WOTE WATANZANIA CHUO KIKUU LUMUMBA! TUJUE PIA TUNAELEKEZWA NJIA MBAYA, TUJITAMBUE KATIKA MAAMUZI YETU SISI WENYEWE, TUTAMBUE WAJIBU WETU KWA KWA JAMII NA SERIKALI, TUJUE NI MALENGO GANI YALIYOTULETA HUKU UGHAIBUNI, TUJUE TUMETOKA KATIKA FAMILIA ZA AINA GANI, TUFIKIRIE NI HALI GANI TULIYOIACHA NYUMBANI NA NI WANGAPI WANATUANGALIA SISI NA KUTUTEGEMEA, NA NI WANGAPI WANAMEZEA MATE NAFASI TULIYONAYO HATA WENGINE WANGEPENDA KUJA KUSOMA KULIPIWA ADA PEKE YAKE BILA KUPEWA CHOCHOTE. KUNA WATU WATAPINGANA NA HILI, ILA NI UKWELI NA NI FACT ILIYOPO NA HAIWEZI KUPINDISHWA KWA NAMNA YOYOTE ILE. ndugu zangu, megafon wanasema БУДУЩЕЕ ЗАВИСИТ ОТ ТЕБЯ ( FUTURE DEPENDS ON YOU) KUNA WATAKAOKUJA KUJUTIA MAISHA HAYA. KUNA WATAKAOKUMBUKA MAPATO NA MATUMIZI WANAYOFANYA HAPA, KUNA WATAKAOFAIDIKA KATIKA MAISHA YAO KWA KUFUATA MWENENDO NA MWONGOZO WA SERIKALI KUPITIA UBALOZI, KUNA WENGINE WATABAKI KUWAADITHIA MARAFIKI ZAO VIJIWENI KUWA NILIISHI NA KUSOMA MOSCOW RUSSIA 6 YEARS NA KUPATA HELA INTERM OF DOLLARS NA KUZITUMIA. kwa wakati huu najua tutachekana na kudharauliana, ila naamini kwa asilimia kubwa sana kuwa haitapita miaka mingine 7 bila kuyakumbuka maneno kama haya. HAWAJAKOSEA MWANASAYANSI NEWTON ALIVYOTOA PROVE YAKE KUWA KILA PENYE ACTION PANA EQUAL AND OPPOSITE REACTION. KWA SASA TUNAPANGA MAANDAMANO KUUHUJUMU UBALOZI NA WIZARA KWA KUCHELEWESHA KWA WIKI MBILI POSHO ZA WANAFUNZI,BAADA YA MIAKA 5-10 TUNAPOKEA NA SISI MAANDAMANO TOKA VYUONI KWA JAMBO HILO HILO WAKATI TUKIWA TAYARI MAOFISINI. USHAURI WANGU KWA WASOMAJI WASIO WANAFUNZI NA WAFANYAKAZI WA SERIKALI, JARIBUNI KUFANYA KAZI ZENU KWA USAHIHI NA KWA MUDA ULIOPANGWA. TUNAJUA KAZI MARA NYINGI INAFANYIKA SIO CHINI YA ERROR +_ 0.5 LAZIMA JAMII IJUE KUWA ERROR NI SEHEMU YA PRACTICLE NA PIA NI SEHEMU YA MAFANIKIO. USHAURI KWA WALENGWA, NAWASHAURI KUANGALIA TATIZO, KULINYAMBULISHA, KULIJADILI KWA KINA, KULIPATIA WASAA MWINGINE(NUMBER OF OCCURENCE), KULIPATIA MUDA NA KULITOLEA MAAMUZI AMBAYO YANAELEMEA ZAIDI DIPLOMASIA. Written and editted by BONIFACE THOMAS ASSENGA student in faculty of economy at Peoples Friendship university
......MOSCOW, 2008..... ........................................

17 COMMENTS:

kwagilwa Reuben said...

JE, KUNA ULAZIMA WA TSU KUANDAA MGOMO? Napenda kuchangia mada iliyotajwa hapo juu kama ilivyowasilishwa na Bw. Boniface Asenga. Kwanza, TSU-Lumumba ni kifupi cha Tanzania Students Union, lakini Union hiyo ni ya wanafunzi wanaosoma Urusi katika chuo kikuu cha Lumumba. Pili, TSU-Lumumba ina structure ya uongozi. Kuna Bunge la wanafunzi na kuna kamati tendaji ya TSU. Bunge linaongozwa na Spika. Kamati tendaji inaongozwa na Rais wa TSU. Kikatiba, Kamati tendaji inajukumu la kuendesha shughuli za kila siku za TSU. Bunge lina jukumu la kusimamia, kutathmini, kuelekeza na kutoa mapendekezo juu ya mambo makubwa ambayo yanahitaji uwakilishi wa watu. Mapendekezo hayo ya Bunge yanaweza kupelekwa kwa kamati tendaji au mbele ya Mkutano Mkuu wa WanaTSU kulingana na nature ya jambo husika. Kwa maelezo haya, NIMKUTANO MKUU PEKEE ndio unaweza kupitisha maamuzi makubwa yanayowahusu wanaTSU wote.(Rejea Katiba ya TSU 3.1.0 a). Pia, wanachama wote wa TSU ni wajumbe halali wa MKUTANO MKUU (Katiba 3.1.0b). Kwa hiyo, si kweli eti uongozi unaweza kufanya maamuzi makubwa na kuwashinikiza wengine wafuate. Wote tunafahamu Serikali yetu ni chombo kisafi, Lakini kunawatendaji wachache wachafu ndani ya serikali. Leo ni tarehe 10/09/2008. Vyuo hapa Urusi vimefunguliwa tangu tarehe 01/09/2008. Wanafunzi watanzania wa chuo kikuu lumumba hawajapewa mikopo yao ya fedha za kujikimu mpaka sasa. Unategemea wanaishije? Watakwendaje Shule? Wanakula nini? Watanunuaje madaftari na vitabu? Kadi za usafiri watalipiaje? Wakiugua dawa watanunuaje? Majibu ya maswali haya ndiyo yataamua nini wanafunzi wafanye?Viongozi wa TSU wamekwenda ubalozini mara nyingi bila kusikilizwa. Hata ilipotokea wakasikilizwa, wamekuwa wakipewa ahadi hewa. Mara ya Mwisho wameenda na hawakufunguliwa hata mlango.Matokeo yake walitumiwa maaskari ili wawazuie kuingia ubalozini. Sasa, nauliza hiyo diplomasia mnayoisema, inawezekana? Unaweza kufanya maongezi na mtu ambaye hataki akuone wa hapokei simu zako? Je, unafikiri vijana watavumilia kufa njaa huku ughaibuni? Unafikiri watakubali kuendelea kukosa huduma muhimu ikiwemo na Elimu kwa kisingizio eti wawe watiifu kwa ubalozi? Hawa ni vijana wa chuo kikuu. Ni taifa la leo na kesho. Kama wao tu watashindwa kudai haki zao, Je,baba zao wavuvi,wakulima na maskini itakuwaje? Je, kama haki zao watashindwa kuzitetea, unategemea kesho wakiwa viongozi wataweza kuitetea nchi yao kwenye mikataba mikubwa? Wakiwa wabunge, wataweza kumtetea mkulima wa korosho anayenyanyaswa kwa kupangiwa bei mbovu ya mazao yake? Vipi kuhusu mgonjwa anayelazwa chini wodini kwa kukosa kitanda achilia mbali madawa, wataweza kumtetea? Lazima vijana tuwe namwelekeo. Tusikubali kuwa vibaraka kwa wachache wenye tamaa. Tutashindwa kulitumikia taifa."Bora kuishi siku moja tu duniani, lakini ukaishi kama simba, kuliko kuishi miaka elfu moja duniani, ukaishi kama kondoo!" Vijana, Mkutano mkuu unakuja. Ondoeni ubinafsi na muamue kusimamia haki zenu. "Kanzu ya ijumaa, hufuliwa Alhamisi. Anzeni mapema.

Anonymous said...

mh! naibu mkuu, nashukuru sana kwa maeleza na hutuba uliotoa hapo juu,, tunafaham kuwa wewe ni mtetezi wa wanyonge na unapenda sana kuhubili haki za wanyongo tangu ukiwa tanzania,na mpaka leo, na utaendelea hivyo kwani ndio karama yako toka kwa aliye juu. sasa mh, hebu refer hotuba/ maelezo ya General Bakunda na waliochangia ktk mkutano,bakunda anasema "jumui yoyote haikosi wendawazimu, na TSU kama jumuia kuna wendawazimu ambao kazi yao kubwa iliyowaleta urusi ni kuwajaza ujinga wenzao pasipo kuwa na fact! Mr EX-PRESIDENT of TSU (General-BAKUNDA) anaendelea kusema "unajua unaweza kuwa kiongozi na mwenye mvuto wa kusikilizwa kwa kujenga hoja zenye kuleta hisia fulani katika jamii, lakini yale unayoongea yanalenga nini?, yanamanufaa gani kwa jamii?,sio kutafuta sifa katika vikao vya TSU kwa kuonekana wasemaji wazuri, pasipo kuangalia Jamii yetu imekuja kufanya nini huku urusi na tunakwenda wapi kimaisha,"Methali ya wahenga- KWENYE MSAFARA WA MAMBA KENGE NAO HAWAKOSI, katika jamii yetu kuna Makenge ambao wanakurupuka na kujenga hoja za KIWENDAWAZIMU" mwisho wa kunukuu: sasa bwana mdogo kwagiro, na mwenzako Mkada, msitumie advantage ya kumuweka Bwana kanyathare Bonifasi madarakani ili kuendeleza matakwa yenu, na kuendeleza vurugu, nyie ni viongozi wadogo sana wala nyie sio wa kwanza. sote tunajua, kuwa boni kawekwa madarakani na madogo, ili sasa nyie mpate nafasi ya kunkontroo kama taili bovu,! katika dhana kwamba eti mnataka kuibadilisha TSU na jamii nzima. thats why- general Bakunda mlimpiga vita asishike madaraka kwani ninavyofaham General sio mtu wa kupelekwa pelekwa na mawazo ya kiwendawazimu yasio na dira wala muelekeo. MADA iliyo hapo juu na hoja zilizotewa , kimsingi ndizo zilijionyesha katka mkutano wa jana-10/9/08. viongozi wa TSU( ukitoa KATIBU MKUU-Mr KATO, na spika wa bunge Mr swilla) mlikuwa mnashinikiza kufanyika kwa MGOMO, kwa muda usiojulikana pasipo maandalizi . Sasa, kanyathare, kwagirwa, na mkada- mnafaham FALSAFA ZA UONGOZI WOWOTE DUNIANI???, au mmengia ktk majukumu ili kujionesha kwa watu wenu wa karibu kwamba ni vidume wa hoja! ?, vijana angalieni: Uongozi wowete DUNIANI ,lazima ufuate DIPROMASIA, katika kutatua matatizo husika, ni lazima Busara itumike zaidi,Ni lazima tukae chini na kutafakari, na kutoa uamuzi wa busara .SIO UBABE na HOJA ZA KIWENDAWAZIMU. matatizo ya fedha za wanafunzi hapa lumumba , yatatuliwa kwa njia ya amani, na busara ipewe nafasi ,sisi kama wasomi. mwisho- nasema hivi- hii ni jamii ya wasomi, najua kuna wendawazimu kati yetu(refer general bakunda) ambao wametoka kidogo nje ya mstari, sasa sisi kama watu wazima na wasomi TUTAWARUDISHA KATIKA MSTARI.kama hawataki kurudi katika mstari TUNAWASIHI WAACHIE NGAZI KWA HIARI, sio kutuchanganya na hoja zao za kiwendawazimu. Bwana Kanyathare, mkada na Kwagirwa-kabla hamjaibadilisha TSU, sisi tutawabilisha ili kuondoa ile MYOPIC PROBLEM mlionayo . TSU INA WENYEWE. Long life TSU thanks.

mdau block 8, room 206 said...

mama yangu weee! kumbeeeeeeeeee sasa kwani nimebisha??// mimi binafsi sikwenda kwenye kikao, ila hotuba ya General Bakunda niliipata na kuisikiliza kwa makini,recorded voice toka kwa mwandishi wa kujitegemea, ! huyu jamaa anatisha, na anajiamini wala hamuogopi mtu, lugha alioitumia ilikuwa nzito mnoooo, sio mambo ya utani, nahisi alikuwa serious sana baba wa watu. kuhusu mgomo, mimi siukubali hata kidogo. tunafahamu watu wachache wanataka kuvuruga amani yetu. nashauri , huyo gwagiro, Pazi ,mkada na kanyathare na vijana wake wa kijiji cha ujamaa block 8-TUWAWEKE KITIMOTO.- kwani hawa jamaaa wanataka kutuvuruga, na kutupotezea heshima ya mtz hapa chuon. AU VIPI WAJIUZURU TU- kama hawawezi kutumia DIPROMASIA. tumpatie KATO awe mwenyeketi ambao anajua nini maana ya kuwa kiongozi. MWISHO, General BAKUNDA endelea kuwa mkali,hawa viongozi WANABIP TU MADARAKA!,hawana lolote!kwani wewe ndio uliozindua TSU tena may 2006, tangu ilipokufa mwaka 2000. bakunda tuko nyuma yako! BUSARA ZAKO BADO TUNAZIHITAJI

Anonymous said...

Big up Viongozi TSU. Huyo bakunda ni mwendawazimu. Angekuwa na akili timamu hata uongozi TSU asingethubutu kugombea. Matokeo yake alipata kura sijui tisa tu. Hiki ni kielelezo kwamba watu hawamkubali kutokana na pumba zake za kitoto kwenye mambo ya maana. Huyu jamaa ni mkubwa wa mwili tu, lakini akili za kuchanganua mambo hana. kazi yake ni kuwakatisha tamaa viongozi wetu. Na nyie watu wa CCM, kwa nini mmempa nafasi huko? Kama mnataka mpate wanachama wengi, huyo jamaa mutoweni kwenye uongozi kwa sababu hakubariki. Bakunda, subiri kugombania marks za straiteryad kwa kudhurumu kama ulivyofanya mwaka huu. Uongozi huwezi na ulikushinda. Waachie madogo wachape kazi. Tuko pamoja nao.

Mwanaidi said...

Wewe unayesema kuwa upo nyuma ya Bakunda unafanya nini huko?

Mtanashati said...

Tatizo wengi wenu hamjui kuwa TSU imekufa/itakufa kutokana na ukweli kwamba inaendeshwa kisiasa zaidi. Asilimia kubwa ya wanachama wamekata tamaa na mustakabali wa hiyo TSU kutokana na jinsi inavyoendeshwa na pia kitendo cha watu kutaka kujijengea majina wakiwa huku Urusi au kutaka sifa kwa kuonekana hodari wa kutoa hotuba ambazo wengi wao huamisha hotuba za viongozi wakubwa kisiasa. Kwa mfano kauli ya Bakunda kuwa ndani ya TSU kuna wendawazimu ni nukuu kutoka kwa Dr. Emanuel Nchimbi katika kikao cha umoja wa vijana CCM (UVCCM). Kwa hakika tutaifukia shimoni rasmi TSU mara watakapowasili vijana wengine wanaotegemewa kuwasili mapema mwishoni mwa mwaka (ask me why). Tatizo ni kuwa watu hawakubali kuwapa nafasi wale wanaostahili na badala yake wanataka kila kitu wafanye wao. Hayo sijayasema kwa utani au kejeli bali kutokana na uchungu mkuu nilionao juu ya maendeleo yetu na ya Taifa huko mbeleni. Nakulilia Tanzania. mtanashati@yahoo.com

mwanaFA said...

Ukiona vyaelea ujue vimeundwa. Gen. bakunda unakubalika sana watu tu hawataki kukubali. kwanza liafya hilooo. unafanya mchezo hadi kumdatisha demu wa kirus enedelea na kurekebisha tabia wala usichoke. mdau kasema yuko nyuma yako mdau mwingine anachonga sasa mii nasema hivi nakuunga mkono na miguu. tupo pamoja. kama hao viongozi wameshindwa kazi waondolewe waingie wengine kama Gen. Bakunda.

Iits me Kiongozi wa TSU said...

achani, kumsakama bakunda, nyie vijana wadogo sana kimawazo, hamna lolote! atawachapa fimbo, hamjui ni mtu anayeheshimika ,sana hapa chuoni si tu na sisi wabongo, bari na watu wa mataifa mengine, hamjui kuwa ni mtu muhimu sana huyu, mimi mwenyewe kanisaidia sana, ilikuwa kidogo tu nifkuzwe shule, kimsingi huyu mkuu hana makuu na mtu yeyeto, siwafichi, huyu mh. jina lake ndio liko kwenye mtandao wa network ya chuo, kama kiongozi wa watanzania hapa chuoni, ukienda krest na kwa madekani wote jina la bakunda ndilo lipo sasa nyie wa kina kwagirwa, na boni hamuoni kama mnabip uongozi, hamna jipya, JIACHIEN, mtakalia kuandaa migomo isiyofanikiwa kamwe Sisi watz , tuko nyuma yako kwa lolote, na mtu akileta za kuleta kumsumbua bakunda TUTAMCHAPA VIBOKO 12 MATAKONI ili akaisimulie familia yake. bakunda , tunakuhitaji- hawa madogo hawana lolote, na boni wao ndo kabisaaaaaaa anaendeshwa kama taili, hamna lolote! mihasira ya kikulya ndo anaileta urusi, TUTAMRUDISHA , aende akachimbe mihogo kwao TARIME. NB. breaking news-bakunda anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni. hamjui kama ana wife white, hamkumuona 1/may/2008, alikuja nae kwenye maonyesho! so wabongo msimsumbue Jeneral BAKUNDA.

kinjekitile said...

wote mmeshindwa kuongoza TSU, SASA CHAMA CHA TSU, tunampa MBUNGE-swilla livingston, akishirikiana na Kato, swilla baba ,chukua chama, unakubarika hadi kwa madada zetu! cheko lako tu ni siraha tosha! he-he-he-he-he-he:)))))))))))) TUNATAKA DIPROMASII TU, MGOMNO NE KAGDA NE BUDET

Tourism guy! said...

WE MTANASHATI, ! HIVI UNAAKILI KWELI? UNASEMA UTAIFUKIA TSU, MARA TU MADOGO WAPYA WATAKAPO KUJA, ! WE NANI,? UNA NINI?, TSU UMEIKUTA NA UTAIACHA ? LABDA USUBILI GENERAL BAKUNDA AMALIZE SHULE 2010, THENI NDO UPANGE MIKAKATI YAKO SASA AMBAYO KUFANIKIWA KWAKE NI BAADA YA MIAKA 100 IJAYO, MIDHALI GENERAL BADO YUPO, NA NDO ALIIZINDUA TSU, UJUE ATAKAYE KUWA NA HOJA ZA KIWENDAWAZIM NI VIBOKO TU, AKAMUONYESHE MPENZI WAKE. hakuna mgomo , labda general atakapomaliza shule, vijana jaribu kuheshim waliotangulia kuzaliwa, na chuo vile vile kawatangulia, hamjui 2005 alichaguliwa UDSM(Chemical processing engeneering), hata sisi wa mwaka wa tatu tunampigia salute

Mtanashati said...

Tourism Guy im sure you messed up on your name. You could have called ourself tourism Gay. kwa sababu hata lugha uliyotumia kwa kweli sijaweza kuambulia kitu. TSU siyo ya Bakunda bali ni ya wote na bila mimi na wewe hakuna TSU hence Bakunda angekuwa nobody vile vile. Hivyo tusijenge utaratibu wa inferiority complex kuwa fulani ni bora zaidi wakati hajawai kutoa hotuba ambayo ni mawazo yake binafsi. Zote huwa ananukuu na ushahidi ninao, kubwa zaidi alishawahi kunukuu hata maneno yangu niliyowahi kuzungumza wakati tunapiga tu stori za kawaida na akayatumia kwenye kikao. People thought of him Being a Great Guy, but guess what i thought of him to be.... An Asshole, Hopeless, Self Dependent who cares to be famous regardless of being respected & wise. Binafsi sina chuki na Kima yeyote ila nitapinga kwa nguvu zangu zote pale mtu anapokuwa mnafki kwa kutokukubali ukweli. Hata Baba wa Taifa alikuwa ananukuu na kisha ku_admit kuwa "that's according to....." why not Bakunda following this path? Kisheria unaweza kushtakiwa au kisiasa unaweza kujikuta unapoteza umaarufu wako kisa kujifanya Great thinker whle you quoted someone's idea/thought, so you better watch out buddy! Ni mengi sana yamesemwa kuhusu Bakunda na kama angekuwa ana akili kweli angekuwa amejirekebisha, majuzi tu kamdhulumu mtu pesa aliyostahili kuipata kama sehemu ya jasho lake. Sasa kama mtu dola 50 ambayo ni haki ya mtu amekuwa mgumu kutoa, Tujiite wapumbavu kiasi gani kuendelea kumkumbatia huyo mtu aje kutuongoza ilhali na wazi kuwa ana tamaa? Ana uchu wa madaraka na mbaya zaidi ni mtu mwenye kiherehere na anayelewa sifa..???? Jamani tuwe wazi na unafki uishe ila Bakunda nampa Big NO till the end of MY LIFE! Bakunda, you do not deserve even to be a repressentative in the village commitee not to mention Being Mbunge or President refering to your behaviour and your general character as a human being. i could advice you just to stick on your studies to became a civil engineer or whatever you are into, rather than thinking about politics coz you are a BIG DISSAPOINTMNT! Hate Me Or Love Me Im Not Gonna Give Your A Damn! Say No To Wanafki like Bakunda And His Puppets. Just Until The Time We'll See They've Changed. Im Sorry! But It's True!

Anonymous said...

we bwege wa six MBONA HUWEKI MAWAZO YA WENGINE? unachuja yale yote ambayo yanamuusu bwege mwenzio WOTE WEWE NA KUBWA LA OIL HAMNA LOLOTE kamaumeweka blog yako kwa kurekebisha tabia kama manavyojidai basi hainaaja ya kuondoa mawazo ya watu wengine usichague ambayo unayapenda bwege mkubwa.

Anonymous said...

TSU siyo ya KANYATHARE,ASSENGA WALA BAKUNDA ni ya watanzania wote, kwa manufaa ya watanzania wote.mimi BONIPHACE KANYATHARE sitaongoza TSU kama nitakavyo mimi bali kwa mawazo ya watanzania wote, KUITWA MWENYEKITI SIO TIKETI YA KUFANYA YOTE NTAKAYO BILA KUSHIRIKISHA WENZANGU nalifahamu hilo kwani nikati ya mambo yaliyo nifanya ning'atuke katika uongozi wa BWANA BAKUNDA. watanzania walinichagua kwasababu za msingi kabisa na sintowaangusha. kwani najua wapo wachache wenye mawazo mabaya, wanatamani waone machafuko yakiendelea ndani ya TSU lakini nawaahidi nikiwa bado mwenyekiti haitatokea. kama mnawaza kwamba nitachoshwa na maneno yenu ya kukatisha tamaa MSAHAU, kwani nilipowaomba watanzania wanichague niliwaahidi kuwa KAMWE SINTOWAACHA KABLA MUDA WANGU WA UONGOZI HAUJAISHA, KAMA ILIVYO TOKEA ZAMANI NILIPOKUWA KATIBU. nilijua nitakabiliwa na magumu, machungu na matusi lakini sijachaguliwa kupambana na yeyote kati ya hao wanipingao. NIMECHAGULIWA KUPAMBANA NA MATATIZO YALIYOPO KWENYE JAMII YETU. kunipinga kwao kunaniongezea ujasiri na uzoefu maishani, hivyo sishangai naamini sote ni watanzania na tunapaswa kuishi kwa amani bila matatizo, KUMBUKENI KUWA MIMI SIYO MALAIKA NI BINADAMU KAMA WALIVYO WENGINE NA NINAHITAJI MSAADA WA MAWAZO ILI KILAKITU KIENDE SAWA,nipowazi kwa kila mtanzania kama mna oni lolote mnakaribishwa wakati wowote, JUZI KWENYEKIKAO bakunda aliniita MWENDAWAZIMU ingawa alijifanya anatumia fasihi ili nisielewe, BAKUNDA wewe ni mtanzania mwenzangu NAJUA UNANICHUKIA na UNGEPENDA KESHO UAMKE USIKIE NIMEAGA DUNIA lakini mungu ndiye alituumba na kabla hajaamua hakitatokea kitu, LAKINI HAINA MAANA WALA HAUTAPATA FAIDA YOYOTE KWA KUNICHUKIA hujui kumchukia mtu ni mzigo mzito sana? ACHA ROHO MBAYA. kama unaoni lolote unakaribishwa usiniogope leta oni lako au wazo lako wakati wowote nitakusikiliza. bwanaASSENGA NASHUKURU KWA MAWAZO YAKO nimeyapokea na nitayafanyia kazi ILA NINAUSHAURI KWAKO ukisikia kitu usikimbilie kukiandika tu, niulize nitakufafanulia , PIA KAMAKIONGOZI MTARAJIWA TANZANIA utakapo pata nafasi jitahidi kuyabadilisha yote yale mabaya, ambayo ulifanyiwa kipindi unasoma au uliyofanyiwa kipindi ukiwa uraiani NINAMAANISHA UKIINGIA KATIKA UONGOZI WA NCHI USIJE KUWAFANYIA WANAFUNZI MABAYA KAMA ULIYOFANYIWA UKIWA MWANAFUNZI. TUKIYAWEZA HAYO naamini tutaikomboa jamii yetu.AMANI NA UPENDO VITUTAWALE TUSICHUKIANE WALA KUONEANA WIVU KWA MAMBO YA DUNIA KWANI TUTAVIACHA NA TUTAPITA. boniphace elphace kanyathare.MWENYEKITI TSU.

Anonymous said...

yap wewe bwana una kila sifa ya uongozi.unajiamini,huogopi kusema ukweli,na unakubali kjishusha panapostahili.laiti kama ungekuwa kule serikalini ule ufisadi ungekwisha mapema.WANAOKUPIGA MADONGO WAMEISHIWA.BIG UP! Huyo bakunda limezoea,mwanzo alikuwa na bif na assenga alipokuwa kiongozi,yakamshinda.now amehamia kwako. maneno ya mkosaji yasikubabaishe.shirikiana na wote watakaohitaji kushirikiana na wewe,wasiotaka wajiachie wataishia kupiga madongo lkn mwendo mdundo.

Anonymous said...

mimi nawashauri ndungu zangu tuwe na upendo tusilumbane kwani kuna aja gani ya kutukanana posipo sababu hapa ursi ni tunapita tu mbona nchini zengine awagombani kama sisi? inaonekana sisi tunleta usiasa zaidi na kufanya tsu n sehemu ya kufanyia praktiz tukienda uko serekalini WANAUMEEEEEEEEE TUACHENI TABIA YA MJUNGU UMBEA KAMA VILE WANAWAKE BWANA.WANAWAKE WAMETULIA SI NDO TUMECHUKA NAFASI YAO JAMANI TUONESHE UUME WETU KWANI SISI NDO MABABA WA FAMILIA WATALAJIWA JAPO WENGINE TAYARI WALISHIITWA BABA ZAMANI.NA WE BAKUNDA ULIMTOA UONGOZI KWANI ULIFANYA TITNA KWA KUWAPA MANENO MADOGO NA USIKU KUSHA UNASAMBANZA BARUA ZA KUTANGAZIA UBAYA UONGOZI SAS YAKO WAPI HAO HAO WAKAKUTOSA KURA SITA UKAPEWA SASA UMEAMIA KWA BONY MWENYEKITI NAISI SAS BAKUNDA UNAJIANDAA UPYA KUMTOA BONY MADARAKANI COZ UMESHAONA MADOGO WENGINE WANAKUJA KAMA ULIVYOUFANYIA UONGOZI ULIOPITA.USHAURI SISI NI WATU WAZIMA HAKUNA MWENYE CHINI YA MIAKA 20 IVYO TUFANYE MAMBO KAM WATU WAZIMA NAAMINI TUTAFANIKIWA.AMEN

Anonymous said...

hayo ndiyo maneno idumu TSU,mungu wabariki viongozi wetu,mungu wabariki watanzania wote waishio urussi.muda wa malumbano ya hoja umeisha,yaliyopita si ndwele tugange yajayo.now tuwafikirie wale walioishiwa pesa za kujikimu,maana hata stroitel hawakufanya.tuombe dua pesa zije skora.tusaidiane tudumishe undugu.kwa habari nyepesi kutoka kwa kiongozi fulani amesema mwezi huu hautaisha pesa zitamuvuzishwa.

man boy! said...

uanjia sometime tufikilie je kama tutagoma alfu balozi kila asubuhi aje anatukuta tumekaa pale kwenye makochi alafu awe anasalimia tu!alafu anaendelea na shughuli zake kama kawa!je mtakuwa na pumzi mpaka lengo litimie?masera bora ufungwe jela lakini lile eneo linatisha zaidi!msioenda pale mpasikie ivyoivyo tu lile eneo la ukweli jamani!ok mi nitakuwa nawaletea mikate kila siku nikiwa nnje!

Tags:

0 comments

Post a Comment