Subscribe to receive latest Updates

Online :

You Are Here: Home - - INAWEZEKANA NI KWELI WANAFUNZI HUENDA VYUO KULINGANA NA HUU MCHANGANUO?

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter >>1. Maskini,waoga na washamba-SUA > > 2. Matajiri,wajanja na wenye akili-MZUMBE > > 3. Wenye akili chache,wavivu na matozi,masister> duu-CBE DAR > > 4. Malaya, wasanii,wauza sura na wasio jiweza> kiakili-IFM > > 5. Upeo mdogo,wapenda sifa na watoto wa mama-> TUMAINI UNIVERSITY > > 6. Wazalendo wenye asili ya Arusha na> Moshi-MUCCOBS > > 7. Wapenda ofa duni za serikali-TIA > > 8. Waliokosa vyuo kabisa-RUCCO > > 9. Mafundi-DIT,ST JOSEPH > > 10. Wapenda dezo na wamekosa nafasi UDSM-UNIVERSITY OF> DODOMA > > 11. Wasiojali future,watoto wa geti kali-SAUT > > 12. wenye uwezo wa kipesa na> kiakili but walifeli form4-6-IAA > > 13. Wanaosoma sana but silent-ST> JOHN,KCMC,BUGANDO > > 14. Wasiofahamu umuhimu wa elimu-CHUO CHA MIPANGO DOM, ZANZIBAR UNIVERSITY> ,MORO MUSLIMU,NYUKI TABORA > > 15. Wakujitolea na future duni-DUCE,MUCE,KIGURUNYEMBE > > 16. Wasiojali nchi mamluki-ABROAD > > 17. Watu wa sifa zote hapo juu za> kila aina-UDSM > > "Unayaona hayo mambo?
Tags:

1 comments

  1. Anonymous says:

    Kwani wewe unaonaje??

Post a Comment