Rais John Magufuli ametoa vitambulisho 670,000 kuwatambua wafanyabiashara wadogo nchini Tanzania kuhakikisha wanafanya shughuli zao bila kusumbuliwa.
Rais ametoa vitambulisho hivyo leo Jumatatu Desemba 10, 2018 kwenye mkutano wake na watendaji wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), wakuu wa mikoa yote nchini humo kujadili namna ya kuboresha mazingira ya ukusanyaji mapato.
Amesema kwa muda mrefu amekuwa akiiagiza TRA pamoja na halmashauri kutowatoza kodi wajasiriamali wadogo ambao mitaji yao haizidi Sh4 milioni lakini utekelezaji wake umekuwa wa kusuasua.
Kila Mkoa utapewa vitambulisho 25,000 na kila mjasiriamali mdogo atalipia Sh20,000 na fedha hiyo kupelekwa TRA.
Kila Mkoa utapewa vitambulisho 25,000 na kila mjasiriamali mdogo atalipia Sh20,000 na fedha hiyo kupelekwa TRA.
Kwa malipo hayo, kila mkuu wa Mkoa atakusanya Sh500 milioni na ikilazimu aagize vitambulisho vingine kwa ajili ya watakaovihitaji.
Rais Magufuli amesema hajaridhishwa na utaratibu wa kuunganisha kitambulisho cha TRA na kile cha Taifa kuwatambua wafanyabiashara wadogo akibainisha baadhi yao kutozwa kodi nje ya maagizo.
“Suala la kuwasajili wafanyabiashara wadogo linaenda polepole sana, tangu nimetoa maagizo kwamba mamalishe na wamachinga wasisumbuliwe. Unakuta mtu ana mtaji usiozidi Sh4 milioni lakini wanasumbuliwa kila siku anatafutwa kulipa kodi na ushuru wa kila aina,” amesema.
Amesema vitambulisho hivyo ni kwa ajili ya kuanzia na endapo kutakuwa na mahitaji zaidi vitatengenezwa kulingana na mahitaji ya mkoa husika.
“Nimeamua kufanya tofauti, nimechapisha vitambulisho mimi mwenyewe. Mfanyabiashara akishavaa kitambulisho hiki asisumbuliwe na mtu yoyote na kwa vile nimekitoa mimi, sioni mtu atakayeenda kumsumbua,” amesema Rais Magufuli.
Katika hatua nyingine, Rais Magufuli ameeleza kutoridhishwa na kiwango cha ukusanyaji wa mapato nchini Thumo huku akitaja baadhi ya sababu zinazochangia kuwa ni viwango vikubwa vya kodi vinavyotozwa na TRA.
Ameitaka TRA pamoja na Wizara ya Fedha na Mipango kuboresha mazingira ya ukusanyaji mapato ikiwamo kodi ya majengo ili ilingane na hali halisi ya maisha ya Watanzania
x



FRESH FULLZ STOCK AVAILABLE NOW UPDATED-2025 DATABASES
USA UK CANADA GERMANY SPAIN AUSTRALIA
Bulk quantity Available
Fresh spammed & quality stuff
All info will be real & verified
Fresh & Live stock available
Telegr@m - @ leadsupplier - @ killhacks
TG Channel - t.me/ leadsproviderworldwide
What's App - +1727 788 61 29
VK Messenger ID - @leadsupplier
NAME SSN DOB DL ADDRESS EMPLOYEE & BANK DETAILS FULLZ
NAME NIN DOB DL ADDRESS SORT CODE & ACCOUNT NUMBER FULLZ
NAME SIN DOB ADDRESS PHONE EMAIL MMN
ID|DL SCAN FRONT BACK WITH SELFIE & SSN
DL FRONT BACK WITH SELFIE GLOBAL
HIGH CREDIT SCORES PROS 700+ SCORES
CHILDREN FULLZ 2011-2023
OLD & YOUNG AGE FULLZ 1940-2010
KYC STUFF FOR VERIFICATION'S
SPECIFIC FULLZ INFO FILTER BY AGE|GENDER|CITY|STATE
Crypto Leads
Casino Leads
Sweepstakes Fresh
Email Leads
Business Leads
Payday Leads
Loan Leads
Medical Leads
Car Database registration Leads
Health Leads
Professional Leads
Personal Leads
Bank Account Leads
Premium Leads
FB|LinkedIn|Ebay|Amazon|Gmail|yahoo|Hotmail Leads
Specific Countries Leads
SMTP
RDP
SC@M PAGES
C-PANELS
WEB-MAILERS
BULK SMS & EMAIL SENDERS
I.P'S & PROXIES
EMAIL COMBOS
SCRIPTING
SMTP LINUX ROOT
#CRYPTO #LEADS #EMAILLEADS #LEADS #FULLZ #PROS #SSNFULLZ
#SSNDOBDL #IDSCANS #DLSCANS #SWEEPSTAKES #TOOLS #SPAMMINGTOOLS
#USALEADS #CANADALEADS #UKLEADS #KYCSTUFF #HIGHCSPROS