Subscribe to receive latest Updates

Online :

You Are Here: Home - HABARI ZA KITAIFA , HABARI ZA LEO - Rais Magufuli agawa vitambulisho 670,000 kwa wamachinga

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter

Rais John Magufuli ametoa vitambulisho 670,000 kuwatambua wafanyabiashara wadogo nchini Tanzania kuhakikisha wanafanya shughuli zao bila kusumbuliwa.

Rais ametoa vitambulisho hivyo leo Jumatatu Desemba 10, 2018 kwenye mkutano wake na watendaji wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), wakuu wa mikoa yote nchini humo kujadili namna ya kuboresha mazingira ya ukusanyaji mapato.

Amesema kwa muda mrefu amekuwa akiiagiza TRA pamoja na halmashauri kutowatoza kodi wajasiriamali wadogo ambao mitaji yao haizidi Sh4 milioni lakini utekelezaji wake umekuwa wa kusuasua.
Kila Mkoa utapewa vitambulisho 25,000 na kila mjasiriamali mdogo atalipia Sh20,000 na fedha hiyo kupelekwa TRA.

Kwa malipo hayo, kila mkuu wa Mkoa atakusanya Sh500 milioni na ikilazimu aagize vitambulisho vingine kwa ajili ya watakaovihitaji.

Rais Magufuli amesema hajaridhishwa na utaratibu wa kuunganisha kitambulisho cha TRA na kile cha Taifa kuwatambua wafanyabiashara wadogo akibainisha baadhi yao kutozwa kodi nje ya maagizo.

“Suala la kuwasajili wafanyabiashara wadogo linaenda polepole sana, tangu nimetoa maagizo kwamba mamalishe na wamachinga wasisumbuliwe. Unakuta mtu ana mtaji usiozidi Sh4 milioni lakini wanasumbuliwa kila siku anatafutwa kulipa kodi na ushuru wa kila aina,” amesema.

Amesema vitambulisho hivyo ni kwa ajili ya kuanzia na endapo kutakuwa na mahitaji zaidi vitatengenezwa kulingana na mahitaji ya mkoa husika.

“Nimeamua kufanya tofauti, nimechapisha vitambulisho mimi mwenyewe. Mfanyabiashara akishavaa kitambulisho hiki asisumbuliwe na mtu yoyote na kwa vile nimekitoa mimi, sioni mtu atakayeenda kumsumbua,” amesema Rais Magufuli.

Katika hatua nyingine, Rais Magufuli ameeleza kutoridhishwa na kiwango cha ukusanyaji wa mapato nchini Thumo huku akitaja baadhi ya sababu zinazochangia kuwa ni viwango vikubwa vya kodi vinavyotozwa na TRA.

Ameitaka TRA pamoja na Wizara ya Fedha na Mipango kuboresha mazingira ya ukusanyaji mapato ikiwamo kodi ya majengo ili ilingane na hali halisi ya maisha ya Watanzania


x

1 comments

  1. Anonymous says:

    FRESH FULLZ STOCK AVAILABLE NOW UPDATED-2025 DATABASES

    USA UK CANADA GERMANY SPAIN AUSTRALIA
    Bulk quantity Available
    Fresh spammed & quality stuff
    All info will be real & verified
    Fresh & Live stock available

    Telegr@m - @ leadsupplier - @ killhacks
    TG Channel - t.me/ leadsproviderworldwide
    What's App - +1727 788 61 29
    VK Messenger ID - @leadsupplier

    NAME SSN DOB DL ADDRESS EMPLOYEE & BANK DETAILS FULLZ
    NAME NIN DOB DL ADDRESS SORT CODE & ACCOUNT NUMBER FULLZ
    NAME SIN DOB ADDRESS PHONE EMAIL MMN
    ID|DL SCAN FRONT BACK WITH SELFIE & SSN
    DL FRONT BACK WITH SELFIE GLOBAL
    HIGH CREDIT SCORES PROS 700+ SCORES
    CHILDREN FULLZ 2011-2023
    OLD & YOUNG AGE FULLZ 1940-2010
    KYC STUFF FOR VERIFICATION'S
    SPECIFIC FULLZ INFO FILTER BY AGE|GENDER|CITY|STATE

    Crypto Leads
    Casino Leads
    Sweepstakes Fresh
    Email Leads
    Business Leads
    Payday Leads
    Loan Leads
    Medical Leads
    Car Database registration Leads
    Health Leads
    Professional Leads
    Personal Leads
    Bank Account Leads
    Premium Leads
    FB|LinkedIn|Ebay|Amazon|Gmail|yahoo|Hotmail Leads
    Specific Countries Leads

    SMTP
    RDP
    SC@M PAGES
    C-PANELS
    WEB-MAILERS
    BULK SMS & EMAIL SENDERS
    I.P'S & PROXIES
    EMAIL COMBOS
    SCRIPTING
    SMTP LINUX ROOT

    #CRYPTO #LEADS #EMAILLEADS #LEADS #FULLZ #PROS #SSNFULLZ
    #SSNDOBDL #IDSCANS #DLSCANS #SWEEPSTAKES #TOOLS #SPAMMINGTOOLS
    #USALEADS #CANADALEADS #UKLEADS #KYCSTUFF #HIGHCSPROS

Post a Comment