Kilimanjaro Stars imefanikiwa kuingia nusu fainali ya mashindano hayo baada ya kuifunga Malawi goli1-0 katika kipindi cha Kwanza, lililofungwa na Nurdin Bakari. Leo Kilimanjaro Stars imeonyesha mchezo mzuri ukiacha makosa madogo madogo yaliyojitokeza.

0 comments