Tamale Mirundi amesema walaghai wameharibu picha za bwana Museveni, wakitumia komputa, na kumfananisha na nyota wa miziki ya Hip Hop anayeimba akiwa nusu uchi.
Baadhi ya picha hizo zinaonyesha amevalia mkufu shingoni huku akiwa na picha alizochorwa mwilini maarufu kama ''tattoos''.
Rais Museveni anawania muhula mwingine kama rais wa Uganda kutipia chama cha National Resistance Movement NRM.
![](http://www.blogger.com/img/icon18_edit_allbkg.gif)
0 comments