Kituo kimoja cha polisi kiliteketezwa huku maafisa wa polisi wakiwafyatulia risasi washukiwa hao wanaodaiwa kuwa wafuasi wa mlanguzi huyo Christopher Dudus Coke anayesakwa na Marekani.
Wiki iliyopita serkali ya Jamaica iliahidi kumpeleka Bwana Coke nchini Marekani afunguliwe mashtaka ya ulanguzi wa madawa ya kulevya na kumiliki silaha kiharamu.


0 comments